Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh sure?Bora asingeahidi hii itawavunja moyo sana wachezaji maana wanajua ni uongo na uwezekano wa kupewa ni almost haupo
Yanga wao bonus zimewekwa kabisa kwenye mktaba Kila mechi wakishinda wanakuta kwenye mshahara wao percent imeongezeka maisha yanaendelea
Very sure ahadi hewa hata wachezaji wakisikia wanavunjika moyo na by the way Hilo goli litafungwa na nani!?Jobe au Fredy!?Duuuuh sure?
Hilo changa la machoMkuu Kwamba kina mangungu ni Cha mtoto?
angelipia hata mashabiki kumi nauli ningemuona wa maana, hapo anajua tu hakuna sent inaenda kumtoka,Aache kutoa kwenye usajili aje atoe huku? Kashausoma mchezo kuwa hawatoboi ndio maana anawapa matumaini ya uongo.
Kuwa tu kwa mkapa ni motisha tosha.Sahihi mkuu....
Swali ...Kwann hii motisha hakuweka Toka mech ya hapa Kwa mkapa
Anacheza na akili za makoloangelipia hata mashabiki kumi nauli ningemuona wa maana, hapo anajua tu hakuna sent inaenda kumtoka,
Ni biashara ndio ila kashapuyangaHii ni biashara anajua akitoa 500, Simba ikienda nusu atapata mara mbili na nusu ya hiyo!
Ukiwaaminisha watu kwamba una pesa, hata Kama Ni vijisenti vya michongo utapata heshima Sana mtaani.Ndo tajir wetu Sasa tufaje[emoji23][emoji23]
Ndio zake hizo kacheza free betKumbe mnamuelewa vzr[emoji23]
Simba anaingia nusu fainali.Swali ni Je ...itawezekana??
Hiyo 500m hata asipotoa ataiongeza kwenye ile 51 B aliyosema alishatoa..Hakuna kanjibai mjinga