Yeah hata kwenye nyimbo za mbele katajwa sana Soulja Boy,Kanye west,post Malone na rae sremmurd wamemtaja katika baadhi ya ngoma zao jamaa alikuwa ni greatest pale NBAHuyo Dikembe Mutombo katajwa sana katika nyimbo za Wenge BCBG
Bora mrudishe reliniWatu wanazungumzia kikapu wewe unaleta habari za kibu Denis Prosper una shida binafsi na yeye.
Mutombo Dikembe ilikua habari ingine ?kuna yule Msudan pia aliwai kuvuma sana NBAYeah hata kwenye nyimbo za mbele katajwa sana Soulja Boy,Kanye west,post Malone na rae sremmurd wamemtaja katika baadhi ya ngoma zao jamaa alikuwa ni greatest pale NBA
Yule msudan kwa sasa ni marehemu alikuwa anaitwa Manute Bol jamaa mwembamba mrefu hivi hata Hasheem haingizi mguu,alikuwa na nidhamu ya hali ya juu hadi leo NBA anaheshimika...enzi hizo alipokuwa kwao Sudan aliwahi kuua Simba aliyetaka kula mifugo yake kwa fimbo tuMutombo Dikembe ilikua habari ingine ?kuna yule Msudan pia aliwai kuvuma sana NBA
Ana mtoto wake anacheza NBAYule msudan kwa sasa ni marehemu alikuwa anaitwa Manute Bol jamaa mwembamba mrefu hivi hata Hasheem haingizi mguu,alikuwa na nidhamu ya hali ya juu hadi leo NBA anaheshimika...enzi hizo alipokuwa kwao Sudan aliwahi kuua Simba aliyetaka kula mifugo yake kwa fimbo tu
Anaitwaje? Mlete hapaAna mtoto wake anacheza NBA
Hakeem Olajuwon alitokea NigeriaSio wapowapo Wacongo ni moja kati ya waafrica waliofanya poa NBA tangu enzi hizo za kina Dikembe Mutombo mzee wa Big Ballin na kina D Ilunga Mbenga na wengine kibao,kwa hapa Africa Hakeem Olajuwon wa Ghana ndio the greatest wetu ana rekodi nzuri sana NBA
Ok, thanks kwa marekebisho mkuu!Hakeem Olajuwon alitokea Nigeria
Anaitwa Bol Bol anachezea Orlando MagicAnaitwaje? Mlete hapa
Kuna mmoja anaitwa Bismack Biyombo...mrefu lakini Hana hata cha maana Uwanjani...yupo yupo Tu NBA analamba pesa ..Wakongo NBA wapo wapo....
Yes na mtoto wake ni moja ya tegemeo kubwa sana kwa timu ya taifa ya basketball ya Sudan kusini,Hapa Africa timu ya taifa ya Sudan kusini ni moja ya timu bora upande wa basketball na inafanya vizuri kimataifa sambamba na Nigeria na Dr Congo..Ana mtoto wake anacheza NBA
Sio poa mkuu, heshimu wenzakoKibu Denis ni mpumbavu
Ukitizama College Basketball (CBB) kuna dogo mmoja anaitwa Oscar Tshiebwe ni Mkongo yupo Kentucky Wildcats.
He's going to be a star.
View attachment 2512534
Bol bol yupo Orlando magicAnaitwaje? Mlete hapa
Inapasa ufaham why hasheem alijikuta yupo NBA marekani sio ulaumu tu... Hasheem wala hapend mpira wa kikapu ni vile urefu wake wa ajabu ndio uliomfanya dunia ikamsogeza huko.. na ndomana ameshindwa.. sabab sio passion... Wale kina cobe kina lebron.. mchezo uko damuni... Yaan kama wew unavyopenda kuchakata papuch. i bas na wale ndio wanavyoupenda huo mchezo... Na ndomana na mafanikio yotee.. lakin unaona bado kina bron wana vunja rekodi zao kila siku.
Baada ya kijana wetu hashimu Sabiti kuamua kutembeza tango pori badala ya kucheza kikapu kaibuka mwamba huyo Mobamba toka Ivory Coast.
Orlando Magic to Lakers,
Kijana wenu alionekana mitaani juzi kati akiuza sura.
Sijui hata yuko wapi
Hawa ni watu warefu huenda walidhani kuwa warefu itawasaidia kucheza Basket.. well dunia imeona.Hasheem wala sio biggest NBA flop...
Kuna ma flop kuliko Hasheem ..kam Google Michael Oluwakundi