Mo Bamba NBA sasa sio tena Hasheem Thabeet

Mo Bamba NBA sasa sio tena Hasheem Thabeet

Na uzuri na mimi nimezungumzia wanamichezo ambao jamii ilikuwa na matarajio makubwa kwao, na baadaye kushindwa kufikia hayo matarajio!

Hasheem Thabit na huyo dogo ni mifano halisi. Wala sina shida binafsi na yeye. Nimewalinganisha tu.
💯
 
Mchezaji gumzo duniani Kwa sasa anaitwa Victor Wembanyama ana asili ya Congo lakini mfaransa...watu wanadai anaenda kuwa star kuliko LeBron mwakani ... NBA ...wanamsubiri Kwa hamu..
Yeah huyo dogo lazima awepo kwenye draft ya mwaka huu. Sema ma scout wanadai weakness yake ni wembamba, dogo hana msuli.
 
Hili suala la kuwasakama wachezaji kucheza na kufanya vizuri uko nje Ajibu alishaliweka vizuri kabisa. Kama kwenda marekani au ulaya ni rahisi basi kupitia shughuli yako iyo iyo nenda wewe. Ulaya kuna wahasibu, madokta, wajasiriamali, madereva, wapishi n.k kama kwenda uko ni rahisi nenda kafanye shunghuli zako wewe sio lazima waende uko wanamichezo tu
 
Inapasa ufaham why hasheem alijikuta yupo NBA marekani sio ulaumu tu... Hasheem wala hapend mpira wa kikapu ni vile urefu wake wa ajabu ndio uliomfanya dunia ikamsogeza huko.. na ndomana ameshindwa.. sabab sio passion... Wale kina cobe kina lebron.. mchezo uko damuni... Yaan kama wew unavyopenda kuchakata papuch. i bas na wale ndio wanavyoupenda huo mchezo... Na ndomana na mafanikio yotee.. lakin unaona bado kina bron wana vunja rekodi zao kila siku.
Comment yako kama ina mashiko kaka, hata pale makongo kipindi icho alikua amateur's sana it was just for fun kwake.
 
Hasheem yuko china Sichuan🏀 blue 🐋

Anazisukumia tango pori papuchi za kishuanshuu!
Helaaaa mzeee watu wanaangalia penye hela sio umaarufu na title hata CR7 kaenda kucheza kule kwa waarabu sababu ya hela, David Beckham nae alienda kucheza ligi ya Marekani sababu ni helaaaa, Thabit anasaka Doe anadunduliza hizo hizo za Shuanhu akirudi hapa anafungua shule ya kikapu ndio utajua alienda kufanya nini China
 

Baada ya kijana wetu hashimu Sabiti kuamua kutembeza tango pori badala ya kucheza kikapu kaibuka mwamba huyo Mobamba toka Ivory Coast.

Orlando Magic to Lakers,

Kijana wenu alionekana mitaani juzi kati akiuza sura.

Sijui hata yuko wapi
Hasheem kilichomponza ni sketi na kulewa sifa. Over! Angekua mbali sana
 
Yes na mtoto wake ni moja ya tegemeo kubwa sana kwa timu ya taifa ya basketball ya Sudan kusini,Hapa Africa timu ya taifa ya Sudan kusini ni moja ya timu bora upande wa basketball na inafanya vizuri kimataifa sambamba na Nigeria na Dr Congo..

Olympic ya mwaka juzi timu ya taifa ya Nigeria ikiwa na wachezaji wa kawaida tu ambao wengi wao wanacheza ligi za kawaida za ulaya waliikalisha timu ya taifa ya Marekani iliyosheheni mastaa wote wa NBA
Tatizo basketball ya bongo ilikuwa ni aidha walikuwa mabishoo wengi warefu lakini hamna kikapu ndio wanacheza, au wale wako serious tatizo walikuwa wafupi, Bahati, Evarist,
Pazi na Vijana wameshakufa siku hizi, na pia wao hawajawahi kushinda chochote nje, wala wakiwa timu ya taifa.
 
Yes na mtoto wake ni moja ya tegemeo kubwa sana kwa timu ya taifa ya basketball ya Sudan kusini,Hapa Africa timu ya taifa ya Sudan kusini ni moja ya timu bora upande wa basketball na inafanya vizuri kimataifa sambamba na Nigeria na Dr Congo..

Olympic ya mwaka juzi timu ya taifa ya Nigeria ikiwa na wachezaji wa kawaida tu ambao wengi wao wanacheza ligi za kawaida za ulaya waliikalisha timu ya taifa ya Marekani iliyosheheni mastaa wote wa NBA

Nigeria, Senegal na Angola ndio timu bora za muda wote za kikapu kwa Afrika...
 
Yes na mtoto wake ni moja ya tegemeo kubwa sana kwa timu ya taifa ya basketball ya Sudan kusini,Hapa Africa timu ya taifa ya Sudan kusini ni moja ya timu bora upande wa basketball na inafanya vizuri kimataifa sambamba na Nigeria na Dr Congo..

Olympic ya mwaka juzi timu ya taifa ya Nigeria ikiwa na wachezaji wa kawaida tu ambao wengi wao wanacheza ligi za kawaida za ulaya waliikalisha timu ya taifa ya Marekani iliyosheheni mastaa wote wa NBA
Tulikua na dogo patrick nyembela hapo bongo kapigana sana na kikapu cha bongo nafkiri hata hashim thabit kapita kwake na madogo wengi wa kishua wenye ndoto hizo wamepita kwake pale viwanjani tanesco ila hamna aliyetoboa zaidi ya hashim.
Nasemaje watoto wa kishua ndio walikua na mawazo ya kucheza basket,uswazi kwetu daladala camp gereji mchangani ni chandimu na kuwaza kuiba maandazi badae wapige chabo wapi na kupora ndio kipaji akitoboa anakua mpiga debe
 
Yeah huyo dogo lazima awepo kwenye draft ya mwaka huu. Sema ma scout wanadai weakness yake ni wembamba, dogo hana msuli.
sasa huyo mumfananishe na Le Bron James?ni mbingu na ardhi Le bron hajafika hapo alipo kimzahamzaha kapigana sana na hiyo game.
na swala la msuli unatafutwa aanzie huko kwanza
 
Back
Top Bottom