Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Anacheka chekaMmiliki wa klabu ya Simba ndugu Mohamed Dewji amesema ya kwamba atazungumza na wanasimba instagram live ili wamueleze changamoto za klabu yao ikiwemo wachezaji gani wafukuzwe katika klabu ya Simba..
Pia amewaomba wanasimba waandae majina ya wachezaji wanaoona wanafaa ili awasajili dirisha lijalo la usaji..
Kwako mwana Simba je unapendekeza nani afukuzwe na nani asajiliwe?