Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Inaelezwa Mfadhili wa klabu ya Simba, Mohammed Dewji, yupo tayari kutoa kiasi cha dola 300,000 za Kimarekani (sawa na shilingi milioni 785 za Kitanzania) endapo timu hiyo itaibuka na ushindi dhidi ya Yanga.
Taarifa kutoka kwa vyanzo vya kuaminika zinadai kuwa ahadi hiyo inalenga kuwahamasisha wachezaji wa Simba kuhakikisha wanapata matokeo mazuri katika mechi hiyo muhimu. Hata hivyo, hakuna tamko rasmi kutoka kwa klabu ya Simba au mfadhili mwenyewe kuthibitisha taarifa hiyo.