Mo Dewji aendelea kukimbiza kwa utajiri nchini

Wachaga ni kabila pekee lilitoa bilionea na kuingia kwenye orodha za Forbes, hao wengine ni wahindi wabantu
Acha uongo....

Kulikuwepo na muhaya pia...

Hebu fuatilia billionaire Ally mfuruki....alishawahi kuwa top ten pia...ingawa naye alishakufa...
 
Mengi anakuwaje tajiri wakati mali zake zimegawanyishwa kufuatia mirathi yake "will".
 
Waache uongo, ko miaka yote utajiri wao uko palepale uku maviwanda yao yanapiga kazi kila siku
 
Saguda47 amelike
 
Nitakiwa mtu wa mwisho kabisa duniani, kuamini eti Mohamed Dewji ni tajiri mwenye pesa nyingi zaidi kuliko Rostam Aziz, au Said Salim Bakhresa.
 
Nitakiwa mtu wa mwisho kabisa duniani, kuamini eti Mohamed Dewji ni tajiri mwenye pesa nyingi zaidi kuliko Rostam Aziz, au Said Salim Bakhresa.
We unajulikana, unaweza ukasema gari imetengenezwa kwa mbao na ukasimamia msimamo wako
 
Unafuatilia kweli data za matajiri!!!?? Mara ya mwisho forbes uliingia lini ukaona Mengi hayupo!!?? Kanywe chai urudi uje kuniambia nani amekwambia bilionea akifa anaondolewa kwenye orodha ya matajiri. Maana naona hujanywa chai
Sasa marehemu anakuwa vipi tajiri ikiwa mali zake huku duniani wameshagawana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…