Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC Mohammed Dewji 'MO' amekutana na kuzungumza na Rais wa Shirikisho la Soka duniani FIFA Gianni Infantino kuhusu masuala ya maendeleo ya mpira wa miguu hususan barani Afrika.
Baada ya mazungumzo hayo MO Dewji amemkabidhi jezi ya Simba SC ambayo imeandikwa jina la Rais huyo wa FIFA Infantino.
"Leo nimekutana na Gianni Infantino Rais wa FIFA katika makao makuu, kwa kweli nimefurahishwa sana, kwa dira na shauku ya kuendeleza mpira wa ushindani na wa kuvutia Afrika.
Nia yao ni kuboresha maendeleo ya mpira, na najua chini ya uongozi wa Gianni mpira wa miguu kwenye bara letu utaenda Next Level". MO Dewji.
Baada ya mazungumzo hayo MO Dewji amemkabidhi jezi ya Simba SC ambayo imeandikwa jina la Rais huyo wa FIFA Infantino.
"Leo nimekutana na Gianni Infantino Rais wa FIFA katika makao makuu, kwa kweli nimefurahishwa sana, kwa dira na shauku ya kuendeleza mpira wa ushindani na wa kuvutia Afrika.
Nia yao ni kuboresha maendeleo ya mpira, na najua chini ya uongozi wa Gianni mpira wa miguu kwenye bara letu utaenda Next Level". MO Dewji.