lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Tatizo ni Waandishi wetu, aina ya Maswali wanayouliza lazima yalete majibu ya UKAKASI na haswa ukichanganya na asili ya lugha ya Kiswahili bila umbeya HAKINOGI.
Nakumbuka wakati SENZO MBATHA akijiuzulu SIMBA , MO DEWJI alielezea kuwa jamaa amepata malisho BORA , huko kwao SOUTH AFRICA na anamtakia kila la kheri na wamefanya kazi naye vzr.
Baada ya kutambua kuwa SENZO kahamia kwa WANANCHI alipofuatwa na waandishi wa hbr majibu yake yalikuwa tofauti.
" Huyu SENZO , ameshindwa kufikia malengo ya klabu ,hivyo alitambua kuwa HATUTAMUONGEZEA kipindi kingine"
Waandishi haohao wakarudi kwa SENZO na kujielezea yote aliyotamka MO. juu yake. Lkn SENZO alichowajibu " kama , kawaambia hivyo, atakuwa HAJASEMA KWELI, mwambieni afungue makabrasha yake awaoneshe kazi nilizotakiwa kufanya na nilizofanya" na alichowaambia siyo taratibu sahihi za kiofisi ( kuharibu sifa za kiutendaji za mtu)
Waandishi hao hao wakarudi mbio kwa MO na kuanza kumuuliza tena suala la SENZO safari hii MO akajiongeza kidogo na kuwaambia wale WAANDISHI hapana sasa huu utakuwa mchezo ,nikiwaambia mnaenda kwa Senzo na kuleta MALUMBANO.
Sasa hapa ligi imebaki kwa WASWAHILI kwa WASWAHILI na lugha yao ya UMBEA !! neno la KAWAIDA tu ,mnaloambiana kila siku lkn siku mkikosana hilohilo neno litaitwa TUSI.
Vibonzo vya kawaida vya soka au ujumbe wowote wa utani wa soka UTASEMA ananilenga mimi, WAANDISHI nao maswali yao ndo YANAPITIA humohumo.
Kauli ya MWISHO ,pale WASAFI FM tajiri MO akiwa na HAJI MANARA , alitamka wazi kuwa HAJI WANAMPENDA na hawana tatizo naye.
Lkn kumbe ulikuwa ni KISWAHILI CHA WASWAHILI haikupita mwezi.
Nakumbuka wakati SENZO MBATHA akijiuzulu SIMBA , MO DEWJI alielezea kuwa jamaa amepata malisho BORA , huko kwao SOUTH AFRICA na anamtakia kila la kheri na wamefanya kazi naye vzr.
Baada ya kutambua kuwa SENZO kahamia kwa WANANCHI alipofuatwa na waandishi wa hbr majibu yake yalikuwa tofauti.
" Huyu SENZO , ameshindwa kufikia malengo ya klabu ,hivyo alitambua kuwa HATUTAMUONGEZEA kipindi kingine"
Waandishi haohao wakarudi kwa SENZO na kujielezea yote aliyotamka MO. juu yake. Lkn SENZO alichowajibu " kama , kawaambia hivyo, atakuwa HAJASEMA KWELI, mwambieni afungue makabrasha yake awaoneshe kazi nilizotakiwa kufanya na nilizofanya" na alichowaambia siyo taratibu sahihi za kiofisi ( kuharibu sifa za kiutendaji za mtu)
Waandishi hao hao wakarudi mbio kwa MO na kuanza kumuuliza tena suala la SENZO safari hii MO akajiongeza kidogo na kuwaambia wale WAANDISHI hapana sasa huu utakuwa mchezo ,nikiwaambia mnaenda kwa Senzo na kuleta MALUMBANO.
Sasa hapa ligi imebaki kwa WASWAHILI kwa WASWAHILI na lugha yao ya UMBEA !! neno la KAWAIDA tu ,mnaloambiana kila siku lkn siku mkikosana hilohilo neno litaitwa TUSI.
Vibonzo vya kawaida vya soka au ujumbe wowote wa utani wa soka UTASEMA ananilenga mimi, WAANDISHI nao maswali yao ndo YANAPITIA humohumo.
Kauli ya MWISHO ,pale WASAFI FM tajiri MO akiwa na HAJI MANARA , alitamka wazi kuwa HAJI WANAMPENDA na hawana tatizo naye.
Lkn kumbe ulikuwa ni KISWAHILI CHA WASWAHILI haikupita mwezi.