Manula kama watu hawataki kutoa hela ya kuvunja mkataba,basi tutamlipa ila atakua anatuongezea idadi ya mashabiki jukwaani na hela ya kuingia uwanjani lazima alipePambaneni Manula awafuate wasaliti wenzake Inonga na Chama. Vinginevyo Manula akibaki taaabu iko pale pale, wahuni watamtumia kama dalali kuwarubuni waliopo on fire.
umbumbumbu sio mzuri aisee...si juzi tu hapo mlisema mnamdai b20 leo hana deni kalipa lini???Tajiri hana baya, yaan ss hv akitokea mjinga yoyote na kumtusi na kumdhalilisha Mo Dewji huyo kazi anayo
Mangungu na MatolaKwahiyo timu ikifanya vibaya lawama atatupiwa nani?
Huyu jamaa nadhani Simba ikifungwa huwa anaumwa kabisaNaona umebadilika mazimaaa...usije ukaasi tena chama lako..hatupendi vigeu geu..tuwe wote kwenye shida na raha...
Kwa hiyo na wachezaji wa timu yako huwa wanahongwa na Waarabu katika zile mechi wanazofungwa? Mfano msimu uliopita Al Ahly aliwafunga nje ndani kwenye mashindano ya CAF.Tena kama haujui huko mashindano ya CAF ndiyo kuna milungula balaa, kuanzia kwenda kwa wachezaji hadi waamuzi
Una safari ndefu na ngumu kukubali timu yako pendwa ni mdebwedo haijiwezi tena mbele ya wananchi, dawa ni kuhakikisha Chama na Baleke wanapiga hat trick mbele ya simba mechi ijayo ya ngao!!Kwenye uongozi bado kuna tatizo! Mangungu, CPA Masoud, Mr Muba hao watu ni virusi watafanya juu chini Simba isifanikiwe!
Wanachama wangefanya juu chini hao watu watolewe wasishiriki vikao vyovyote vya bodi ya wakurugenzi.
Kwenye bechi la ufundi na wachezaji,matola Suleiman apewe shughuli nyingine uyo mswahili ni rahisi kupenyezewa coins akasaliti timu! pia hana nyota ya bahati na mafanikio kwenye ukocha.
Manula atolewe hata kwa mkopo ni msaliti na mchezaji mwenye tamaa.
Jambo la muhimu viongozi waitishe vikao na viongozi wa matawi yote ya mikoa ambayo ina timu zinazoshiriki ligi kuu ili watengeneze link ya mawasiliano na makao makuu ya club hii itasaidia kuboresha na kupanga mikakati mizito ya ulinzi nje ya uwanja ili timu iwe na uhakika wa ushindi mechi zote za mikoani.
Nikisema ndiyo utaomba na ushahidi ambao ni wazi siwezi kukupa hapa. Wewe jua tu kwamba milungula inatembea sana kwenye ligi ya ndani na hata huko CAF. Punguza ubishi.Kwa hiyo na wachezaji wa timu yako huwa wanahongwa na Waarabu katika zile mechi wanazofungwa? Mfano msimu uliopita Al Ahly aliwafunga nje ndani kwenye mashindano ya CAF.