Mo Dewji amemaliza kazi yake, hatuna cha kumdai zaidi ya sisi kupambana wenyewe kuwasaka wasaliti ndani ya timu

Mo Dewji amemaliza kazi yake, hatuna cha kumdai zaidi ya sisi kupambana wenyewe kuwasaka wasaliti ndani ya timu

Pambaneni Manula awafuate wasaliti wenzake Inonga na Chama. Vinginevyo Manula akibaki taaabu iko pale pale, wahuni watamtumia kama dalali kuwarubuni waliopo on fire.
Manula kama watu hawataki kutoa hela ya kuvunja mkataba,basi tutamlipa ila atakua anatuongezea idadi ya mashabiki jukwaani na hela ya kuingia uwanjani lazima alipe
 
Tena kama haujui huko mashindano ya CAF ndiyo kuna milungula balaa, kuanzia kwenda kwa wachezaji hadi waamuzi
Kwa hiyo na wachezaji wa timu yako huwa wanahongwa na Waarabu katika zile mechi wanazofungwa? Mfano msimu uliopita Al Ahly aliwafunga nje ndani kwenye mashindano ya CAF.
 
Kwenye uongozi bado kuna tatizo! Mangungu, CPA Masoud, Mr Muba hao watu ni virusi watafanya juu chini Simba isifanikiwe!
Wanachama wangefanya juu chini hao watu watolewe wasishiriki vikao vyovyote vya bodi ya wakurugenzi.

Kwenye bechi la ufundi na wachezaji,matola Suleiman apewe shughuli nyingine uyo mswahili ni rahisi kupenyezewa coins akasaliti timu! pia hana nyota ya bahati na mafanikio kwenye ukocha.

Manula atolewe hata kwa mkopo ni msaliti na mchezaji mwenye tamaa.
Jambo la muhimu viongozi waitishe vikao na viongozi wa matawi yote ya mikoa ambayo ina timu zinazoshiriki ligi kuu ili watengeneze link ya mawasiliano na makao makuu ya club hii itasaidia kuboresha na kupanga mikakati mizito ya ulinzi nje ya uwanja ili timu iwe na uhakika wa ushindi mechi zote za mikoani.
Una safari ndefu na ngumu kukubali timu yako pendwa ni mdebwedo haijiwezi tena mbele ya wananchi, dawa ni kuhakikisha Chama na Baleke wanapiga hat trick mbele ya simba mechi ijayo ya ngao!!
Msimu huu utakubali mziki wetu uto fc.

Simba hakuna usaliti wowote mnatupigia makelele, kubalini tu kuwa Eng Hersi kawazidi akili ya mpira na hamtarudi mchezoni mpaka mkajifunze haraka na msipoenda kwa Hersi tutawapeleka kwa bakora.
 
Kwa hiyo na wachezaji wa timu yako huwa wanahongwa na Waarabu katika zile mechi wanazofungwa? Mfano msimu uliopita Al Ahly aliwafunga nje ndani kwenye mashindano ya CAF.
Nikisema ndiyo utaomba na ushahidi ambao ni wazi siwezi kukupa hapa. Wewe jua tu kwamba milungula inatembea sana kwenye ligi ya ndani na hata huko CAF. Punguza ubishi.
 
Back
Top Bottom