Kaandika twit karibu 10 hadi usiku wa mananee... MO ashlala kitambo kamuachia apambanee naloo la mkopoo
Atajibu hayo ndani vikao halali vya Simba, hilo jibu alilomjibu Kigwa kamjibu inavyostahili maana Kigwa kilichomsukuma kuuliza sio mapenzi aliyonayo kwa Simba, bali nichuki aliyonayo kwa MO baada yakukosa mkopo.Ni kweli alitakiwa Hamisi kuwa huru. Hata hivyo, Mudi alitakiwa kujibu hoja hiyo ya Hamisi bila kutwambia siri za mteja wake. Kitendo alichokifanya Mudi kinaweza kutafsiriwa kama anatafuta huruma ya mashabiki wa Simba kuficha mambo amekiuka kama mdhamini wa Simba.
Hivi kuna mtu ameshanunua hata hisa moja ?Yeye Mo sio mkweli..
Anataka geuza Simba kama Mali yake binafsi
Hisa zake ni asilimia 49 Tu na hajalipa hiyo hela.
Watu wenye hisa hisa asilimia 51 wanayo haki ya kuuliza
Sawa ila tuwe wa kweli je Kigwangala huyu tunamjuwa angepewa zile pikipiki angekuwa jasiri kuja hapa nakujifanya anahuruma na Wana Simba? Tuseme ukweli hapa Kigwangala anatumia cheo chake kumuumiza MTU Kwa sababu binafsi. Take it correctly watu tuna akili Sana.Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Huo ni mkopo angeomba kupewa bure angekuwa na haki ya kumsemaMkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Mudi Dewji kakosea kutamka mambo ya mikopo binafsi wakati issue inahusu suala la Simba. Hamisi kama ni mwanachama halali wa Simba naye kakosea, alitakiwa kutumia majukwaa halali ya kikatiba ya Simba kuhoji uwekezaji huo. Hata hivyo, Hamisi kamjibu kiutu uzima Mudi juu ya suala la mkopo.
Kweni kabla ya mo kulikua hakuna simba? Au kabla ya Gsm kulikua hakuna Yanga?
Weka salary slip yake mpumbavu wewe. We unasikia tu maneno ya mtaani. Pesa zao zinapitia benki na kwa taarifa yako WANAKATWA P.A.Y.E au unadhani ni siri? Na hivi kila mwajiriwa lazima awe na TIN ndio utaumbuka mchana kweupe bwege wewe.
Waziri anafanya mambo ya kipuuzi kama vile hana washauri.Sema huyu jamaa Kigwangala anasifa simkubali kabisa
View attachment 1560152
Huyu ni waziri zero brain
Kwahiyo point yako ni nini hasa?Bhasi mngekuwa nao toka mwaka 1936 si wamazoezi tuu...??? Unadhani bei ya lie carpet la majani bandia ni mil 200 etiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kila mtu anajibiwa tokana na hoja yakee wewe ndo unaruka rukaa... Jengeni unaoingiza hela bhasi[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Mkuu waziri ndo mkubwa katika lile jeshi usu la uhifadhi.Waziri anafanya mambo ya kipuuzi kama vile hana washauri.
Sifa za kijinga kama vile kuwarusha kichura watu wazima mbele ya kamera.
mwaga na wewe ulichonacho tuone. hiyo sio biashara ya mandazi. masikini wa fikra pekee ndio mnafikiria amwageSasa mkopo kutoa ilikuwa ni lazima?? Ili aprove kuwa yeye ni billionaire inabidi amwage mikopo kwa watu? Huyu kijana jamani sijui hata CCM walimtoa wapi? Anatia aibu sana.
Naona MO aligoma kutoa pikipiki za kuhonga wajumbe,Dewji anakopa Bank kwa kutumia assets zake kama dhamana(Collateral), yeye Kigwa anaomba mkopo kwa MO akiweka Dhamana ya kitu gani?
Kigwangala bana mara nalima maelfu ya ekari za mchele,mara nina ng'ombe maelfu, kila siku anaimba imba ooh vijana hawana ajira sababu they don't think out of the box kumbe yeye mwenyewe ombaomba tu.,mafao yake ya ubunge hataki kuyanunulia Pikipiki za wajumbe ila hela za MO ndio za kufanyia hayo.
Mfano mfuWabongo bwana hivi kwa mfano No akijiweka pembeni sasa hivi si mtaanza kutembeza mabakuli kama Yanga
Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559971
========
View attachment 1559972
Point yangu ni kuwa Simba bila MO bakuli lazima Litembeee...hutaki endelea kukaza ubongo!Kwahiyo point yako ni nini hasa?
Na ndo hali halisiii...!! tena bakuli litatembea haswaa...[emoji23][emoji23][emoji23]Mfano mfu