Mo Dewji amuomba msamaha Kigwangalla kwa kumnyima mkopo baada ya kuhojiwa uenyekiti wake Simba bila kukamilisha uwekezaji

Kile chama chakavu hata akiingia malaika atakua mchafu tu.
Mama fwalaa sana naee yulee... yani fisiemu ukoo wa panyaa nilidhani samia na Majaliwa wanajielewa kumbe nao mumbwaaa tu...
 
Chuki ya kunyimwa mkopo inaweza tumika kufitinisha, bado mo naona yupo sawa kuwa watu wajue nyuma ya pazia, unajua simba kuna watu wameitoa mbali, asije mjinga mmoja akaharibu kigwangala ni mtu wa ajabu sana anapenda ligi
Nakubaliana na were. Washabiki wanataka kuona mpira tu. Kama tunavyoona Arsenal na MnaU na kuwashangilia wakati hatujaweka haya sent moja. Kwa Simba kuna wanasheria. Kama hili I hawakuliona huyu HK anajua nini?
 
Yeye Mo sio mkweli..
Anataka geuza Simba kama Mali yake binafsi
Hisa zake ni asilimia 49 Tu na hajalipa hiyo hela.


Watu wenye hisa hisa asilimia 51 wanayo haki ya kuuliza
Hawa wenye hisa 51% wameshalipa kiasi gani hadi sasa?
 
Tundu Lissu kawavuruga MATAGA vibaya mnoo!
 
Niko tofauti kidogo Kigwa namkubali sana,na kwa hili la bilioni 20 za uwekezaji,hoja ipo na inatakiwa ijibiwe.Kwangu mpaka sasa Mo anapiga chenga.Haihitaji siasa tunataka mzigo uingie kwa akaunti za klabu.
 
Ndio ku think out of the box kwenyewe huko.
 
Hili ndilo jibu...Leo Wasafi wameirudia ile sauti kwenye Interview ya Mo...kifupi Muheshimiwa Waziri amepuyanga...maana kwenye ile sauti Mo alisisitiza kuwa kuna watu chokonozi ndo wanajifanya hawataki kuelewa...halafu mmoja wa watangazaji(jina kapuni asije kutekwa) akasisitizia hiyo kauli ya watu chokonozi ambao wanjifanya hawataki kuelewa kinachoeleweka...Kigwa amejivua nguo..katibu wake kamuokoa
 
Hii nayo kali, huyu waziri sifa zimemjaa ndiyo maana akigombana na naibu waziri kwa tamaa zake na kujifanya wizara ni yake pekee sifa tu
Pamoja na sifa unazodai za Kigwa je Mo anadaiwa au hadaiwi kwa mujibu wa mkataba?
Yanayosemwa mtaani kwamba ni janja janja yaweza kuwa kweli amemhonga klabu PA wake!!!
Midhali timu bado inashinda kishika uchumba kinatosha ila mimba ikipevuka tutauona mtiti na ndipo tutajua yule "Mwenyekiti, Mzee Kilo na yule mama yetu" kwanini walinyamazishwa!!
Yetu macho na Mo Foundation
 
Kwani wanachama na wapenzi wa Simba sport wanataka nini? I hope wanataka ushindi, mataji ili waweze kuwatambia watani zao. Hiyo ndiyo Big Satisfaction kwa wapenzi wa Simba. Kwani hata leo Simba Ingekuwa na akiba ya Tsh Trilioni 10, je wapenzi wangepata fedha hizo mfukoni mwao? La hasha.

Nani hajui Simba ilivyo STRUGGLE miaka 4 kabla ya Mo Dewji hajakuja Simba? Yanga na Azam ndiyo walikuwa wanabadilishana kwenye ubingwa wa Tanzania.

Mimi personnally naona mawazo ya Mo Dewji ni zaidi ya hizo Tsh 20 Bilion. Kwa kuwa tuna mwaka wa mfulizo na ubingwa wa Tanzania, tulifika robo faunali ya CAF Championship, tayari tuna uwanja wa mazoezi na unatumika Bunju. Tuna sajili wachezaji tunaowataka kutoka popote Afrika na wachezaji wetu wanalipwa bila usumbufu.

Ni MWANACHAMA gani leo ana uwezo wa kuyafanya haya just in case Mo Dewji anaondolewa Simba?
 
Napitia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…