Vitu alivyohoji lazima tuangalie kilichomsukuma kuhoji, nimapenzi aliyonayo kwa Simba?. Au nikwasababu alinyimwa mkopo?. Baada yahapo tujiulize yeye anadai nimwanachama wasimba, kwa nini asisubiri vikao halali vya Simba ndio akahoji?. Tukishapata hayo majibu ndio tuje kwenye hoja zake.
Kabla yahapo aliuliza elimu ya CEO akaona imeshiba, akaimbia mjadala wa elimu akahamia kuwa ameshawahi kuongoza club yeyote kulinganisha na Senzo, akajibiwa hapana akapewa mifano ya Ma CEO waliotoka katika tasisi mbalimbali kuja kuongoza soka kwa Mara yakwanza na wakafanikiwa mmoja wao akiwa CEO wa Chelsea na CEO wa Liverpool.
Baada yahapo akahamia kwenye bill 20, hili lishazungumzwa sana na MO mwenyewe hata siku moja kabla ya Simba day alilizungumzia kama hakuridhika asubiri vikao halali vya Simba akaulize na atajibiwa.