Mo Dewji amuomba msamaha Kigwangalla kwa kumnyima mkopo baada ya kuhojiwa uenyekiti wake Simba bila kukamilisha uwekezaji

Mo Dewji amuomba msamaha Kigwangalla kwa kumnyima mkopo baada ya kuhojiwa uenyekiti wake Simba bila kukamilisha uwekezaji

Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake

Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.

Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.

Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559866
Hamisa anatabia za kidada sana,toka amekua waziri anajiona yeye zaidi ya binadamu wenzake.kumbe ni mrembo tu
 
HASIRA za kigwangwala siyo upendo kwa simba ni hizo pikipiki....mtu hajaanza kazi keshaanza kulalamika mbona yeye kasomea afya yuko utaliii,hata mwanamama wa chelsea hakuwa na uzoefu wa sports lakini leo kawazidi hata kina ed woodward
Labda ni muono wa kistereotype wa mfumo dume
 
Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake

Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.

Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.

Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda

View attachment 1559868
kumbe Mshenz kigwangala analeta ukhanithi kwenye biashara za watu kwa mgongo wa uccm wake.
 
Labda ni muono wa kistereotype wa mfumo dume
kabisa lengo la simba ni kujiendesha kifaida huyu dada ataliweza hilo masuala ya ufundi wako wengine watamsaidia yeye ni kuhakikisha mambo ya kifedha na stahiki zikae sawa,huyo mwingine hasira za kunyimwa mkopo wa mo boxer kuhonga wajumbe
 
Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..

Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Thanx!
 
Naona MO aligoma kutoa pikipiki za kuhonga wajumbe,Dewji anakopa Bank kwa kutumia assets zake kama dhamana(Collateral), yeye Kigwa anaomba mkopo kwa MO akiweka Dhamana ya kitu gani?

Kigwangala bana mara nalima maelfu ya ekari za mchele,mara nina ng'ombe maelfu, kila siku anaimba imba ooh vijana hawana ajira sababu they don't think out of the box kumbe yeye mwenyewe ombaomba tu.,mafao yake ya ubunge hataki kuyanunulia Pikipiki za wajumbe ila hela za MO ndio za kufanyia hayo.
Tofautisha mkopo na msaada!
 
Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..

Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Mo anaujulisha umma kuwa mawe anayoyarusha kigwangala ni kutokana na kutokupewa mkopo. Hivyo hakulitumia suala hilo kama fimbo kumuadhibu bali kujitetea kwa umma. Pia wana simba hawana shida na mo juu ya uwekezaji wake ila tatizo ni hawa watu waliokuwa na masirahi binafsi ndo wanaweweseka.
 
Wewe kuna kitu uliwahi kupinga.
Wewe unafahamika Mzee wa kuunga Juhudi mkono ata kama Juhudi hizo hazina maslahi kwa Umma.
Dr Kigwangalla anauliza kama MO ameshalipa zile bilioni 20......MO anajitetea Kigwangalla ana hasira za pikipik!

MO asikimbie swali lililoulizwa na mwanachama wa Simba SC Dr Kigwangalla!
 
Back
Top Bottom