tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hamisa anatabia za kidada sana,toka amekua waziri anajiona yeye zaidi ya binadamu wenzake.kumbe ni mrembo tuJuzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559866
Jack of all trades, master of none.HK anajikutaga versatile.... Politician, Psychologist, Entrepreneur, Sportsman, na takataka kibao..alafu anabonga sana jamaa
Labda ni muono wa kistereotype wa mfumo dumeHASIRA za kigwangwala siyo upendo kwa simba ni hizo pikipiki....mtu hajaanza kazi keshaanza kulalamika mbona yeye kasomea afya yuko utaliii,hata mwanamama wa chelsea hakuwa na uzoefu wa sports lakini leo kawazidi hata kina ed woodward
kumbe Mshenz kigwangala analeta ukhanithi kwenye biashara za watu kwa mgongo wa uccm wake.Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559868
kabisa lengo la simba ni kujiendesha kifaida huyu dada ataliweza hilo masuala ya ufundi wako wengine watamsaidia yeye ni kuhakikisha mambo ya kifedha na stahiki zikae sawa,huyo mwingine hasira za kunyimwa mkopo wa mo boxer kuhonga wajumbeLabda ni muono wa kistereotype wa mfumo dume
Wewe kuna kitu uliwahi kupinga.Katika hili namuunga mkono Dr Kigwangalla!
Thanx!Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Ukiwa Zimbabwe andazi 1 sh?Huyu ni waziri aliyeagiza andazi kwa shilingi milioni moja
Tofautisha mkopo na msaada!Naona MO aligoma kutoa pikipiki za kuhonga wajumbe,Dewji anakopa Bank kwa kutumia assets zake kama dhamana(Collateral), yeye Kigwa anaomba mkopo kwa MO akiweka Dhamana ya kitu gani?
Kigwangala bana mara nalima maelfu ya ekari za mchele,mara nina ng'ombe maelfu, kila siku anaimba imba ooh vijana hawana ajira sababu they don't think out of the box kumbe yeye mwenyewe ombaomba tu.,mafao yake ya ubunge hataki kuyanunulia Pikipiki za wajumbe ila hela za MO ndio za kufanyia hayo.
MO yuko sawa kwa 100%.
Mo anaujulisha umma kuwa mawe anayoyarusha kigwangala ni kutokana na kutokupewa mkopo. Hivyo hakulitumia suala hilo kama fimbo kumuadhibu bali kujitetea kwa umma. Pia wana simba hawana shida na mo juu ya uwekezaji wake ila tatizo ni hawa watu waliokuwa na masirahi binafsi ndo wanaweweseka.Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Mo amefutiwa kitalu cha kuwinda juzi juzi!nilitaka kushangaa hizi attacks za Kigwa zinatoka wapi. Mo kafunga mjadala
Kigogo kamuuliza yeye Mambo ya maliasili alisomea wapi?Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Hivi naibu waziri utalii ni nani ?Naibu waziri wa hii wizara hata simfahamu .Ni kama Kigwa hana naibu.Sema huyu jamaa Kigwangala anasifa simkubali kabisa
hiyo inahusu vipi. aliyemuanza mwenzie ni nani?Mo amefutiwa kitalu cha kuwinda juzi juzi!
Dr Kigwangalla anauliza kama MO ameshalipa zile bilioni 20......MO anajitetea Kigwangalla ana hasira za pikipik!Wewe kuna kitu uliwahi kupinga.
Wewe unafahamika Mzee wa kuunga Juhudi mkono ata kama Juhudi hizo hazina maslahi kwa Umma.
Anaitwa Kinyasu ni mbunge wa Geita!Hivi naibu waziri utalii ni nani ?Naibu waziri wa hii wizara hata simfahamu .Ni kama Kigwa hana naibu.