johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata mimi nimemshangaa!Kumbe Mo mshamba namna hii.
'Akana' mvuto ila ndo hivyo tenaviongozi wa CCM wanaenda kukopa Pikipiki kwake.Ako kajamaa ni tapeli ndo maana akana mvuto!
Sio mshamba ,kaonyesha hasira za Kigwangala zinatokana na nini?. Mimi nawewe tujiulize kama angepewa huo mkopo angebwatuka aliyobwatuka huko twitter?.Kumbe Mo mshamba namna hii.
Misaada ya pikipiki kwa ajili ya kuhonga wajumbe sio?Tofautisha mkopo na msaada!
Wewe unadhani Dr Kigwangalla ndio kukopa kaanza leo?Kwa kuwa alinyimwa Mkopo wa Pikipiki sasa ameona ahoji Bil 20 iko wapi,hiyo ishatolewa maelezo aache gubu.
Huyo Kigwangala nimshamba na limbukeni, halafu nimtu mwenye Iq ndogo lakini anaependa kujikuza na kuonyesha ana Iq kubwa. Ndio maana alimtoleaga bastola bashe 2010.Hata mimi nimemshangaa!
Tofauti kabisa na bilionea Bakhresa!Mo' tangu aanze kujiingiza kwenye kucheza singeli amekuwa anafyatuka kiswazi sana na vijembe 😂😂😂😂😂
Wanasimba wote tayari wanajua hasira za Kigwa zinatokana na nini, kwahio watampuuza.Wewe unadhani Dr Kigwangalla ndio kukopa kaanza leo?
MO aliamini anamnyamazisha Dr Kigwangalla kwa kuingiza mambo ya pikipiki kumbe ndio amekoleza mjadala!
MO ajibu swali ili mjadala ufungwe!Huyo Kigwangala nimshamba na limbukeni, halafu nimtu mwenye Iq ndogo lakini anaependa kujikuza na kuonyesha ana Iq kubwa. Ndio maana alimtoleaga bastola bashe 2010.
Wana CCM wamemaindi sana baada ya kuona waziri wao anadhalilishwa/kumbe ni omba omba wa pikipiki.Sio mshamba ,kaonyesha hasira za Kigwangala zinatokana na nini?. Mimi nawewe tujiulize kama angepewa huo mkopo angebwatuka aliyobwatuka huko twitter?.
Uko sahihi, Mo Tambuu anazotafuna zinampeleka kubaya. Haiwezekani atuteulie hawala yake katika timu.Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi
Swali atajibu kwenye vikao halali vya Simba, ambavyo Kigwangala sio mwanachama hai anaehuzuria.MO ajibu swali ili mjadala ufungwe!
Kuhoji malipo ya sh bilioni 20 za Simba SC ndio hasira bwashee?!Wanasimba wote tayari wanajua hasira za Kigwa zinatokana na nini, kwahio watampuuza.
Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559868
Hii inaitwa kumvua nguo na kumwacha uchi.Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559868
Halafu anajifanyaga eti anawaza nje ya box,nakusistiza vijana wajiajili siangeuza zile costa zake zimechoka zinazotoka kahama kwenda urambo ili anunue pikipiki.Wana CCM wamemaindi sana baada ya kuona waziri wao anadhalilishwa/kumbe ni omba omba wa pikipiki.
Wanajisahaulisha Mo ni mwana CCM mwenzao.
Juzi Kati Kwenye akaunti ya twitter Kigwangala alionekana akiwanadi ng'ombe wake
Kabla ya hapo alionekana jimboni kwake akigawa pikipiki kitu ambacho hajawahi kufanya kwa miaka ya nyuma kabla ya mwaka wa uchaguzi.
Leo kabwatuka kuhusu uteuzi uliofanywa na klabu ya Simba akidai taratibu hazijafuatwa.
Baadaye Mo Dewji anahoji kwanini asimpigie simu? Mwisho anamshauri asichukulie hasira kunyimwa mkopo wa bodaboda
View attachment 1559868
Kama sio shida unakumbuka Ndugai alichofanya bungeni kutaja madeni na mikopo ya Mh Lema bungeni?? Wanaccm wakaanza kucheka .Kwani kukopa ni shida au kunyimwa yeye mwenyewe MO ana mikopo kibao kwenye mabank ya ndani na nje..cha msingi MO ajibu hoja ya HK juu ya 20B za uwekezaji wake wa hisa za simba.
Mkopo sio aibu..
Mkopo ni mkopo
Hata yeye Mo ana mikopo mingi benki mbalimbali..
Mo ndo anapaswa kuona aibu Kwa kuingiza mambo ya mikopo ..ambalo ni suala binafsi
Kwenye hoja ya club ambayo ina mashabiki
Na mali ya watu wengi