Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
"Huu ni Mwaka wa Tano na mchakato wa mabadiliko haujaisha na Bahati mbaya kuna watu ndani ya Simba wanakwamisha huu mchakato, angekuwa mwekezaji mwingine ambaye hana mapenzi na Simba siku nyingi ameondoka"
“Lakini kutokana na historia yangu na klabu na navyoipenda hiyo klabu, leo usipojua hatma yako nani ataendelea kuwekeza lakini kila mwaka (Year in, Year Out) naendelea kuwekeza,”
"Nimefanya nao mkutano nimewaambia kuwa wale ambao wanakwamisha hili jambo nawajua, kwahiyo wakiendelea nitatoka hadharani nitawataja kwa majina na hatma yangu mimi na wao itabaki mikononi mwa Wanasimba"
“Kuwekeza kwenye vijana ni Long Term Goals, mimi nimeingia Simba tukiwa na Bajeti ya Bil. 2, leo bajeti yetu mwaka huu 2023/24 inaweza kufika Bil. 20 kwa hivyo Bajeti imezidi mara 10 kwenye miaka mitano na hii ni Great Achievement.
“Lakini kuna watu wanasema hapana tuwekeze kununua wachezaji ambayo ni Short Term ambayo utapata mafanikio mara nyingine utafeli,”
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba SC, MOHAMMED DEWJI.
Source: Futball planet
“Lakini kutokana na historia yangu na klabu na navyoipenda hiyo klabu, leo usipojua hatma yako nani ataendelea kuwekeza lakini kila mwaka (Year in, Year Out) naendelea kuwekeza,”
"Nimefanya nao mkutano nimewaambia kuwa wale ambao wanakwamisha hili jambo nawajua, kwahiyo wakiendelea nitatoka hadharani nitawataja kwa majina na hatma yangu mimi na wao itabaki mikononi mwa Wanasimba"
“Kuwekeza kwenye vijana ni Long Term Goals, mimi nimeingia Simba tukiwa na Bajeti ya Bil. 2, leo bajeti yetu mwaka huu 2023/24 inaweza kufika Bil. 20 kwa hivyo Bajeti imezidi mara 10 kwenye miaka mitano na hii ni Great Achievement.
“Lakini kuna watu wanasema hapana tuwekeze kununua wachezaji ambayo ni Short Term ambayo utapata mafanikio mara nyingine utafeli,”
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba SC, MOHAMMED DEWJI.
Source: Futball planet