Mo Dewji atema tena cheche, atawataja wanao mkwamisha ndani ya Simba

Mo Dewji atema tena cheche, atawataja wanao mkwamisha ndani ya Simba

Me nafikiri awataje tu ndio itakuwa njia sahihi yakudeal na hao wakwamishaji wa maendeleo ya simba
 
Mo bhana watu "ndani ya Simba"watakuwa kina nani Sasa au Asha baraka maana chaguzi zinakuja chaguzi zinapita hao watu bado wapo si muwaondoe ili hayo mabadiliko yafanyike au ni hofu kuwa mabadiliko yanaweza kupunguza influence yake!?
 
Siyo kwamba kaijua leo,kupambana na wenye 10% hapa kwetu ni ngumu sana. Kila idara wapo.

Tiefuefu,serilikalini na sasa inaelekea ndoani.

Hapo Mwamedi atapigwa za uso tu.
Na ukizingatia 89% ya Wa TZ cc ni bendera fuata upepo,utakuja kuona.

Tanzania ina wapenzi wa soccer wengi sana,shida ni waliopewa dhamana.

Maximo aliimba weeeeeee walio wengi hawakuelewa,wakamdhihaki,wakampiga majungu na vilago wakamtupia.

Je kuna hatua tumeshapiga?

Je turudi kwenye misingi ya kupata mafanikio ktk soccer au tuendelee kusubiri miujiza ya kupanda ndege kwa kutumia kitabu kiitwacho biblia?
Hakika mkuu.....Kwa hii fukuza / sajili
 
Mo kaamua kuliangusha jumba bovu! Simba imebaki jina tu timu mbovu duniani kwasasa, sikio la kufa!

Wenzake Mo kina Barbara wamekubali yaishe ila kanjibai sababu anavuna Pesa za Simba kaamua kukomaa! Chezea hela tamu za wajinga! Makolo Kazi yote Kazi yao kubwa ni kupiga makelele tu mwenzao Mo anaitafuna Simba tu!!
 
Back
Top Bottom