Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Mfanyabiashara Maarufu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji MO, ameitembelea Klabu ya FC Porto ya Portugal kuangalia namna ya kushirikiana na Simba SC kujua fursa mbalimbali.
"Jana nilipata nafasi nzuri ya kujifunza nilipotembelea FC Porto ambapo niliweza kujua fursa za ushirikiano kwa kukuzia vipaji cha Simba SC huko mbeleni.
Tuna mengi ya kujifunza na kupata kutokana na uzoefu wa FC Porto. Natarajia kuimarisha mazungumzo yetu hivi karibuni".
Ameandika MO kwenye ukurasa wake wa Twitter.
"Jana nilipata nafasi nzuri ya kujifunza nilipotembelea FC Porto ambapo niliweza kujua fursa za ushirikiano kwa kukuzia vipaji cha Simba SC huko mbeleni.
Tuna mengi ya kujifunza na kupata kutokana na uzoefu wa FC Porto. Natarajia kuimarisha mazungumzo yetu hivi karibuni".
Ameandika MO kwenye ukurasa wake wa Twitter.