MO Dewji atembelea Klabu ya FC Porto kuangalia namna ya kushirikiana na Simba SC

MO Dewji atembelea Klabu ya FC Porto kuangalia namna ya kushirikiana na Simba SC

MO ameshajua anafanya kazi na Mbumbumbu kwaiyo anazidi kuwachota akili na Mi Mbumbumbu isivyo jitambua inakenua na kucheka.FC Porto watafanya mipango gani na Simba? Simba awana uwanja wa mazoezi, awana timu za vijana, yeye MO kawekeza Billion 20 kwa miaka 5 ivi mnawaona Porto timu ya Mchangani.

Yaani wafanye Mipango ya maendeleo ya Soka na mwekezaji ambae uwekezaji wake haufikii ata pesa ya ukarabati wa viti katika uwanja wao.
Timu haina ata kituo cha kulea vijana!! Porto wakisema waifuatilie Simba wataikuta ina wachezaji wenye wastani wa miaka 32 kitu ambacho kwa soka la ulaya aina iyo ya wachezaji wengi wanafikiria kustaafu.
Kwa ujumla MO alikwenda kufanya utalii na kupiga picha, kama mtanzania yoyote anaweza kwenda na kufanya ivyo kwakua wenzetu vilabu vyao ni sehemu ya utalii hasa club kubwakubwa zenye historia ndefu. Kwa ujumla Mbumbumbu mnazidi kuonyesha kwanamna gani mna akili za kushikiwa.
Kwahivyo unataka FC Porto wafanye mipango na Real Madrid?

Hivi Vyura akili zenu zikoje? Unaandika pumba ndefu isiyokuwa na maana, mbona Makocha kutoka Uingereza wamekuja kutoa mafunzo Tanzania, kwanini hawakwenda China wenye uchumi mkubwa.

Wivu wa kishamba na mtalamba lolo safari hii..[emoji3][emoji23][emoji3][emoji23]
 
Alishatembelea hadi juventus ,sijui iliishia wapi

Mo ni kanjanja tu, kama manji, kamwe ataondoka simba hata alivyosema atafanya , 50% hajatimiza
Nasikia Akilimali ana mpango wa kutembelea Mazembe kwa BanaKongo [emoji23][emoji3]

OK..Hivi Kanjibai Manji amewahi kutembelea hata Njombe Mji? Hii taarifa inawaumiza sana na endeleeni hivyo hivyo sisi tunasonga mbele.
 
hawa porto wangejua simba wanavyoharibu mpira kwa kubebwa na kupuliza sumu viwanjan wasingekubal akanyage hata kwenye uwanja wao, anautia najisi tu
 
Nasikia Akilimali ana mpango wa kutembelea Mazembe kwa BanaKongo [emoji23][emoji3]

OK..Hivi Kanjibai Manji amewahi kutembelea hata Njombe Mji? Hii taarifa inawaumiza sana na endeleeni hivyo hivyo sisi tunasonga mbele.
yanga ni timu ya wananchi, huyo manji kashajitoa sisi wananchi ndio tunaiendesha kwa nguvu zetu sio simba timu ya familia ya mo
 
yanga ni timu ya wananchi, huyo manji kashajitoa sisi wananchi ndio tunaiendesha kwa nguvu zetu sio simba timu ya familia ya mo
Mkuu.. Kocha wako Zahera hakubali kuwa Yanga ni ya Wananchi..!

Asema timu ya wananchi wanasusua kuchangia fedha, wachezaji wanadi mishahara, washabiki hawaendi uwanja kwa wingi hii si timu ya wananchi...Source Efm

Nadhani utaacha kujinasbu kuendesha timu
 
Kwahivyo unataka FC Porto wafanye mipango na Real Madrid?

Hivi Vyura akili zenu zikoje? Unaandika pumba ndefu isiyokuwa na maana, mbona Makocha kutoka Uingereza wamekuja kutoa mafunzo Tanzania, kwanini hawakwenda China wenye uchumi mkubwa.

Wivu wa kishamba na mtalamba lolo safari hii..[emoji3][emoji23][emoji3][emoji23]
Ndiomaana nasema nyie Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea, MO hana ata kituo cha Mpira,MO Si wakala wa Soka, Simba hawana timu za Vijana, Simba hawana uwanja wa mazoezi sasa Porto watanufaika nini na Simba? Porto wana Ma Skauti wa kutafuta vipaji, wana vituo vya Soka, wana vituo wanavyo Fanya navyo kazi Afrika, America, mbaka Ulaya tena vilivyo wekeza mabilion ya fedha. Yaani MO kawekeza Bilion 20 kwa miaka 5 Tena anadhamin timu yenye wachezaji Vibabu (Over Age) Wakafanye kazi ya maendeleo ya Soka na MO? MO alienda kufanya Utalii, wazungu sio wapumbavu ukaweleze habari za maendeleo ya mpira wakati hauna chochote kinacho usiana na mpira.ila kwakua Mbumbumbu mmeridhika sisi yetu macho.
 
Wewe Chura huna hulijualo, yaani unataka MO awe wakala wa soka[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]

Halafu unasema Simba haina timu ya vijana? Nadhai huna uhakika ni kijiongelea tu Hivi Rashid Juma sasa kikosi cha kwanza katokea wapi?

We endelea kuchangisha bakuli huko
Ndiomaana nasema nyie Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea, MO hana at a kituo cha Mpira,MO Si wakala wa Soka, Simba hawana timu za Vijana, Simba hawana uwanja wa mazoezi sasa Porto watanufaika nini na Simba? Porto wana Ma Skauti wa kutafuta vipaji, wana vituo vya Soka, wana vituo wanavyo Fanya navyo kazi Afrika, America, mbaka Ulaya tena vilivyo wekeza mabilion ya fedha. Yaani MO kawekeza Bilion 20 kwa miaka 5 Tena anadhamin timu yenye wachezaji Vibabu (Over Age) Wakafanye kazi ya maendeleo ya Soka na MO? MO alienda kufanya Utalii wazungu sio wapumbavu ukaweleze habari za maendeleo ya mpira wakati hauna chochote kinacho usiana na mpira.
 
Ndiomaana nasema nyie Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea, MO hana ata kituo cha Mpira,MO Si wakala wa Soka, Simba hawana timu za Vijana, Simba hawana uwanja wa mazoezi sasa Porto watanufaika nini na Simba? Porto wana Ma Skauti wa kutafuta vipaji, wana vituo vya Soka, wana vituo wanavyo Fanya navyo kazi Afrika, America, mbaka Ulaya tena vilivyo wekeza mabilion ya fedha. Yaani MO kawekeza Bilion 20 kwa miaka 5 Tena anadhamin timu yenye wachezaji Vibabu (Over Age) Wakafanye kazi ya maendeleo ya Soka na MO? MO alienda kufanya Utalii, wazungu sio wapumbavu ukaweleze habari za maendeleo ya mpira wakati hauna chochote kinacho usiana na mpira.ila kwakua Mbumbumbu mmeridhika sisi yetu macho.
Happy vibabu mnaowasema nyie ndio mlitaka kuwasajili mkazidiwa dau
 
Back
Top Bottom