Ndiomaana nasema nyie Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea, MO hana ata kituo cha Mpira,MO Si wakala wa Soka, Simba hawana timu za Vijana, Simba hawana uwanja wa mazoezi sasa Porto watanufaika nini na Simba? Porto wana Ma Skauti wa kutafuta vipaji, wana vituo vya Soka, wana vituo wanavyo Fanya navyo kazi Afrika, America, mbaka Ulaya tena vilivyo wekeza mabilion ya fedha. Yaani MO kawekeza Bilion 20 kwa miaka 5 Tena anadhamin timu yenye wachezaji Vibabu (Over Age) Wakafanye kazi ya maendeleo ya Soka na MO? MO alienda kufanya Utalii, wazungu sio wapumbavu ukaweleze habari za maendeleo ya mpira wakati hauna chochote kinacho usiana na mpira.ila kwakua Mbumbumbu mmeridhika sisi yetu macho.