MO Dewji atembelea Klabu ya FC Porto kuangalia namna ya kushirikiana na Simba SC

MO Dewji atembelea Klabu ya FC Porto kuangalia namna ya kushirikiana na Simba SC

Ila kwa hali hii Mtani inaonekana mliteseka sana kule nyuma. Maana kila habari kwenu mmeigeuza habari ili mradi tu. 😀😀😀😀
Sisi lengo letu ni kukuza brand tu na hilo mtani tumefanikiwa. Jina letu hata miamba ya soka barani Africa kwa sasa wakilisikikia najua kihofu lazima kiwaingie
 
Mkuu.. Kocha wako Zahera hakubali kuwa Yanga ni ya Wananchi..!

Asema timu ya wananchi wanasusua kuchangia fedha, wachezaji wanadi mishahara, washabiki hawaendi uwanja kwa wingi hii si timu ya wananchi...Source Efm

Nadhani utaacha kujinasbu kuendesha timu
washabiki wengi wa yanga wanasubiri uongozi mpya ndio waanze kuchanga,subir baada ya uchaguz uone mikakati ya yanga, MO Dewji ni tapeli tu ndio maana African Lyon ilimshinda
 
Mbona wakina Shafii wanatembelea mpaka wembley,bernabeu ,nk .Mimi sioni cha ajabu hapo hiyo kama ziara tu
Kwani shaffi ni nani , kwanini asipewe udhamini yanga kwakuwa yeye ni mzoefu kwenda ghaibuni
 
Kea mtazamo huh..tutaikuza na kunyanyuwa kiwango Cha mpira nchini haswa wachezaji nao waShirikishwe ili waondowe hofu na woga !!
 
Kwahivyo unataka FC Porto wafanye mipango na Real Madrid?

Hivi Vyura akili zenu zikoje? Unaandika pumba ndefu isiyokuwa na maana, mbona Makocha kutoka Uingereza wamekuja kutoa mafunzo Tanzania, kwanini hawakwenda China wenye uchumi mkubwa.

Wivu wa kishamba na mtalamba lolo safari hii..[emoji3][emoji23][emoji3][emoji23]
Kwahivyo unataka FC Porto wafanye mipango na Real Madrid?

Hivi Vyura akili zenu zikoje? Unaandika pumba ndefu isiyokuwa na maana, mbona Makocha kutoka Uingereza wamekuja kutoa mafunzo Tanzania, kwanini hawakwenda China wenye uchumi mkubwa.

Wivu wa kishamba na mtalamba lolo safari hii..[emoji3][emoji23][emoji3][emoji23]
Simba Inatakiwa Wafanye Mipango Na Gor Mahia Ndio Saizi Yao Sio Porto
 
Mkuu umesoma maelezo ya MO au unajifurahisha tu ifike wakati utumie akili yako kuandika vitu vya maana vinginevyo tutakuana una wivu wa kike
Ndiomaana nasema nyie Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea, MO hana ata kituo cha Mpira,MO Si wakala wa Soka, Simba hawana timu za Vijana, Simba hawana uwanja wa mazoezi sasa Porto watanufaika nini na Simba? Porto wana Ma Skauti wa kutafuta vipaji, wana vituo vya Soka, wana vituo wanavyo Fanya navyo kazi Afrika, America, mbaka Ulaya tena vilivyo wekeza mabilion ya fedha. Yaani MO kawekeza Bilion 20 kwa miaka 5 Tena anadhamin timu yenye wachezaji Vibabu (Over Age) Wakafanye kazi ya maendeleo ya Soka na MO? MO alienda kufanya Utalii, wazungu sio wapumbavu ukaweleze habari za maendeleo ya mpira wakati hauna chochote kinacho usiana na mpira.ila kwakua Mbumbumbu mmeridhika sisi yetu macho.
 
Ndiomaana nasema nyie Aliyewaita Mbumbumbu hakukosea, MO hana ata kituo cha Mpira,MO Si wakala wa Soka, Simba hawana timu za Vijana, Simba hawana uwanja wa mazoezi sasa Porto watanufaika nini na Simba? Porto wana Ma Skauti wa kutafuta vipaji, wana vituo vya Soka, wana vituo wanavyo Fanya navyo kazi Afrika, America, mbaka Ulaya tena vilivyo wekeza mabilion ya fedha. Yaani MO kawekeza Bilion 20 kwa miaka 5 Tena anadhamin timu yenye wachezaji Vibabu (Over Age) Wakafanye kazi ya maendeleo ya Soka na MO? MO alienda kufanya Utalii, wazungu sio wapumbavu ukaweleze habari za maendeleo ya mpira wakati hauna chochote kinacho usiana na mpira.ila kwakua Mbumbumbu mmeridhika sisi yetu macho.
Sasa mkuu simba hawana vyote hivyo ulivyovitaja na ndio maana huenda Mo ameenda kujifunza ili kuweza kuanzisha vitu hivyo kwenye club yake? Ningeshangaa sana endapo FC Porto wangekuja kujifunza kwa simba, lakini kwa Mo kwenda kujifunza kwa Porto nadhani ni sahihi kabisa.

Kubali kataa, hatuwezi kutoboa kwenye soka letu bila kujifunza kwa waliotuzidi
 
Mbona wakina Shafii wanatembelea mpaka wembley, bernabeu ,nk .Mimi sioni cha ajabu hapo hiyo kama ziara tu
Wembley na Bernabeu ni viwanja, Porto ni klabu. Sasa sijui inakuwaje unalinganisha mtu aliyetembelea uongozi wa kiwanja na aliyetembelea uongozi wa klabu
 
MO ameshajua anafanya kazi na Mbumbumbu kwaiyo anazidi kuwachota akili na Mi Mbumbumbu isivyo jitambua inakenua na kucheka.FC Porto watafanya mipango gani na Simba? Simba awana uwanja wa mazoezi, awana timu za vijana, yeye MO kawekeza Billion 20 kwa miaka 5 ivi mnawaona Porto timu ya Mchangani.
Yaani wafanye Mipango ya maendeleo ya Soka na mwekezaji ambae uwekezaji wake haufikii ata pesa ya ukarabati wa viti katika uwanja wao.
Timu haina ata kituo cha kulea vijana!! Porto wakisema waifuatilie Simba wataikuta ina wachezaji wenye wastani wa miaka 32 kitu ambacho kwa soka la ulaya aina iyo ya wachezaji wengi wanafikiria kustaafu.
Kwa ujumla MO alikwenda kufanya utalii na kupiga picha, kama mtanzania yoyote anaweza kwenda na kufanya ivyo kwakua wenzetu vilabu vyao ni sehemu ya utalii hasa club kubwakubwa zenye historia ndefu. Kwa ujumla Mbumbumbu mnazidi kuonyesha kwanamna gani mna akili za kushikiwa.
Bora huyu kuliko MANJI aliyekuwa anasafirisha sembe
 
Hao watu wako wakitembelea wanasema wameanda kufanya mipango ipi...?
Kuna kutembelea kama kutalii na kutembelea pamoja kutaka kufanya ushirikiano..Mbona ameeleza hapo MO lengo inakuwaje msielewe?
Mimi naona kama utalii tu coz kuna mwaka ilikuwa kama hivyo ushirikiano na Klabu ya sunderland ya uingereza mpaka leo sijaona matunda yeyote ya huo ushirikiano ndio maana naona kama siasa tu
 
Back
Top Bottom