Mo Dewji ateua wajumbe wapya Bodi ya Simba SC

Mo Dewji ateua wajumbe wapya Bodi ya Simba SC

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
4bf40a015e3a40be832024e94b4d829a_333665128_773850973672062_2315998420265680659_n.jpg

Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji

Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!

In English
I have appointed four New Board members to Simba Sports Club. Welcome to Dr. Raphael Chegeni, Hon Rashid Shangazi, Mr Hamza Johari and Mr Zulfikar Chandoo. These Members will bring great experience that will assist in realizing the Clubs' goal to become the leading football club in Africa

My Take
Tunategemea mje na mikakati yenye uhalisia wa kuifanya Simba Sc kuwa club kubwa barani Africa.
 
View attachment 2532894
Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji

Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!

In English
I have appointed four New Board members to Simba Sports Club. Welcome to Dr. Raphael Chegeni, Hon Rashid Shangazi, Mr Hamza Johari and Mr Zulfikar Chandoo. These Members will bring great experience that will assist in realizing the Clubs' goal to become the leading football club in Africa

My Take
Tunategemea mje na mikakati yenye uhalisia wa kuifanya Simba Sc kuwa club kubwa barani Africa.
Naona
 
Samahani kwa wanaojua mtusaidie, kateua kwa mamlaka yapi aliyonayo?

Wale wenye 51% wanawakilishwa na akina nani kwenye hiyo bodi?

Maana nimeona pia kamteua mwenyekiti wa bodi, sijui nafasi ya wale wenye 51% ni ipi so far
 
samahan kwa wanaojua mtusaidie, kateua kwa mamlaka yapi aliyonayo?

wale wenye 51% wanawakilishwa na akina nani kwenye hio bodi?

maana nimeona pia kamteua mwenyekiti wa bodi, sijui nafasi ya wale wenye 51% ni ipi so far
Ninavyojua, Simba inakuwa na wakurugenzi wa bodi 10, 5 kutoka kwa upande wa wanachama na 5 kutoka kwa upande wa mwekezaji.

Hivyo Mangungu ni mwenyekiti wa Club na Salim ni mwenyekiti wa wakurugenzi.

Nipo tayari kusahihishwa
 
View attachment 2532894
Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji

Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!

In English
I have appointed four New Board members to Simba Sports Club. Welcome to Dr. Raphael Chegeni, Hon Rashid Shangazi, Mr Hamza Johari and Mr Zulfikar Chandoo. These Members will bring great experience that will assist in realizing the Clubs' goal to become the leading football club in Africa

My Take
Tunategemea mje na mikakati yenye uhalisia wa kuifanya Simba Sc kuwa club kubwa barani Africa.
"Na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!'

Bil 20 mpaka sasa hazionekani.
 
View attachment 2532894
Taarifa ya Rais wa Heshima wa Simba Mwekezaji Mo Dewji

Nimeteua wajumbe wanne wapya kwenye Bodi ya Simba Sports Club. Karibu Dk. Raphael Chegeni, Mhe Rashid Shangazi, Bwana Hamza Johari na Bwana Zulfikar Chandoo. Wanachama hawa wataleta uzoefu mkubwa ambao utasaidia katika kutimiza lengo la klabu, na kuwa klabu ya soka inayoongoza barani Afrika!

In English
I have appointed four New Board members to Simba Sports Club. Welcome to Dr. Raphael Chegeni, Hon Rashid Shangazi, Mr Hamza Johari and Mr Zulfikar Chandoo. These Members will bring great experience that will assist in realizing the Clubs' goal to become the leading football club in Africa

My Take
Tunategemea mje na mikakati yenye uhalisia wa kuifanya Simba Sc kuwa club kubwa barani Africa.
Heading ingesomeka ~Shangazi Kaja~ ingetosha
 
Samahani kwa wanaojua mtusaidie, kateua kwa mamlaka yapi aliyonayo?

Wale wenye 51% wanawakilishwa na akina nani kwenye hiyo bodi?

Maana nimeona pia kamteua mwenyekiti wa bodi, sijui nafasi ya wale wenye 51% ni ipi so far
Hahaaaa!!hiyo 51% kwa sasa ni jina tu kwani hakuna pesa ambayo wameshaweka,tieni mpunga huo ndio muwe na maamuzi hayo ya kuteua hao watu!!!yeye lazima ateue kwani ana bilioni 20 zake humo!!na magoli ameshawaambia wanachama kabisa wajiandae ili kuwa mwanahisa pesa ni ndefu.
 
Hahaaaa!!hiyo 51% kwa sasa ni jina tu kwani hakuna pesa ambayo wameshaweka,tieni mpunga huo ndio muwe na maamuzi hayo ya kuteua hao watu!!!yeye lazima ateue kwani ana bilioni 20 zake humo!!na magoli ameshawaambia wanachama kabisa wajiandae ili kuwa mwanahisa pesa ni ndefu.
Hizo bil 20 kaweka benki gani
 
Hizo bil 20 kaweka benki gani
Ili kujua ameweka bank gani!!ni hadi pale mtakapo kuwa mmekusanya hizo hisa 51%(pesa)ndio mmwambie awaonyeshe alipoweka zile ili mzichanganye!!!yaani mwaka mzima mapato ya wanachama ni milioni 17 tu!magoli ameshawaambia hisa moja si chini ya laki 3!!!hapo sasa,Sio unatoka kushiba mihogo huko unapiga kelele tuachie timu yetu!!!
 
Ko unataka waje huko magwepande wakuonyesha Bil 20 hizi hapa??
Kwani wakati wanaweka kwenye account hewa walikuja Magwepande?,si walikuwa huko huko na sisi habari tulizipata sasa kwa nini mpaka leo haijulikani ni Bank gani waliweka?

Ila Tz pamoja na utajiri wa mali nyingi basi pia tumebarikiwa na ushabiki wa hovyo sana.
 
Back
Top Bottom