chillo clan conscious
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 850
- 1,567
Ila jamani ushabiki kazi kweli kweli,kuna muda unatakiwa ujitoe akili na utetee ujinga wenuhaaa,,,nilijua tu hii mada hapa lazima b 20 itashtuliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila jamani ushabiki kazi kweli kweli,kuna muda unatakiwa ujitoe akili na utetee ujinga wenuhaaa,,,nilijua tu hii mada hapa lazima b 20 itashtuliwa.
Mamlaka ya Katiba ya Simba company Sports clubSamahani kwa wanaojua mtusaidie, kateua kwa mamlaka yapi aliyonayo?
Wale wenye 51% wanawakilishwa na akina nani kwenye hiyo bodi?
Maana nimeona pia kamteua mwenyekiti wa bodi, sijui nafasi ya wale wenye 51% ni ipi so far
Mkuu ule mradi wako wa kilimo Singida unaendeleaje. Ulitutia hamasa sana wenzako aisee!Ndio maana mimi sasa hivi nawapiga dislike tu. They are damaged beyong repairs
Tupo field mkuu tunalima hizi mvua za mwisho mwisho ili April tupandeMkuu ule mradi wako wa kilimo Singida unaendeleaje. Ulitutia hamasa sana wenzako aisee!
Nyie mwanachama huo mpunga 51% uko wapi?zikusanyeni kwanza ndipo atawaonyesha zilipo ili mchanganye!!na kweli Tz kuna mashabiki wa hovyo wao wanataka kuona timu inashinda tu bila kuisaidia kwenye kujiendesha,utasikia tu bora utuachie timu yetu!!!Kwani wakati wanaweka kwenye account hewa walikuja Magwepande?,si walikuwa huko huko na sisi habari tulizipata sasa kwa nini mpaka leo haijulikani ni Bank gani waliweka?
Ila Tz pamoja na utajiri wa mali nyingi basi pia tumebarikiwa na ushabiki wa hovyo sana.
Nadhani hizo 51% zitapelekwa kwenye soko la hisa na watu watanunulia huko.Nyie mwanachama huo mpunga 51% uko wapi?zikusanyeni kwanza ndipo atawaonyesha zilipo ili mchanganye!!na kweli Tz kuna mashabiki wa hovyo wao wanataka kuona timu inashinda tu bila kuisaidia kwenye kujiendesha,utasikia tu bora utuachie timu yetu!!!
Mkuu masuala ya Hisa hayafanyiki hivyo. Wale watakaonunua 51% watabaki huku huku kwa 51%. Mo anabaki na za kwake 49%Nadhani hizo 51% zitapelekwa kwenye soko la hisa na watu watanunulia huko.
Kimsingi Mo hashindwi kumpanga mtu wake anunue hisa za 2%, kwa hiyo ukichanganya na ile aliyonayo sasa, majority ownership waliyomnyima ataipata tu kwa njia hiyo.
Naelewa vizuri. Ninachosema anampanga tu mtu anunue 2% kwa jina la huyo mtu (au watu 4 wenye 0.5%) halafu kwenye maamuzi yanayohitaji kupigiwa kura wanakuwa wanaungana pamoja.Mkuu masuala ya Hisa hayafanyiki hivyo. Wale watakaonunua 51% watabaki huku huku kwa 51%. Mo anabaki na za kwake 49%
Labda hiyo, yawezekana Mkuu.Naelewa vizuri. Ninachosema anampanga tu mtu anunue 2% kwa jina la huyo mtu (au watu 4 wenye 0.5%) halafu kwenye maamuzi yanayohitaji kupigiwa kura wanakuwa wanaungana pamoja.
Hukuona uchaguzi uliofanyika wajumbe wa bodi waliochaguliwa ?Samahani kwa wanaojua mtusaidie, kateua kwa mamlaka yapi aliyonayo?
Wale wenye 51% wanawakilishwa na akina nani kwenye hiyo bodi?
Maana nimeona pia kamteua mwenyekiti wa bodi, sijui nafasi ya wale wenye 51% ni ipi so far
Niliwahi kuhudhuria mkutano wa wanahisa wa CRDB. Nilikuwa bwa mdogo tu ila tayari nikikuwa navielewa hivi tuvitu kiasi. Kuna mpuuzi alikuwa ana hisa za majority alikuwa kila hoja inayoletwa, anasimama anaipangua kwa kusema yeye anawazidi wote kwa hisa. Yaani ilikuwa hadi kero.Labda hiyo, yawezekana Mkuu.
Naelewa vizuri. Ninachosema anampanga tu mtu anunue 2% kwa jina la huyo mtu (au watu 4 wenye 0.5%) halafu kwenye maamuzi yanayohitaji kupigiwa kura wanakuwa wanaungana pamoja.
Hiyo 51% inaweza kuwa hisa milioni 400 kwa mfano. Wanaweza kuamua waweke akiba hisa milioni 250 halafu zilizobaki hisa milioni 150 zikaingizwa sokoni. Kwa hiyo watu wanaenda kwenye soko na kununua kwa jinsi ya uwezo wao.sidhani kama inawezekana kwa sababu hiyo 51% ni ya mashabiki haigawanyiki.
Investor yoyote itabidi aende kwa mo wagawane zile 49%.
ingekuwa inawezekana basi mo angechukua hata 100%.
Na hili mnasubiri Simba afanye ili mkeshe na desa.Viongozi waganga njaa sasa kazi mnayo!
Wachawi watupu nyie!
Zilipoingia za ile 1,300/= ya kila mauzo ya jezi moja 🤣Hizo bil 20 kaweka benki gani
Hiyo 51% inaweza kuwa hisa milioni 400 kwa mfano. Wanaweza kuamua waweke akiba hisa milioni 250 halafu zilizobaki hisa milioni 150 zikaingizwa sokoni. Kwa hiyo watu wanaenda kwenye soko na kununua kwa jinsi ya uwezo wao.
Kwa hiyo mwingine anaweza akanunua hisa 500, mwingine hisa 20,000. Kwa hiyo inawezekana kabisa hilo kufanyika ingawa hata hizo 0.5% si pesa ndogo itakayohitajika kuzinunua.
Ila pia nadhani utaratibu utakuwepo wa mwekezaji kwenda moja kwa moja kwa Mo na kununua baadhi au hisa zake zote.
Nakuelewa na kukubaliana na wewe hadi hapo unaposema 51% hazigusiki. Nadhani huo utaratibu ni wa muda tu ila baadae naamini BAADHI ya hizo hisa zitawekwa katika soko la mitaji ili ziweze kununulika na kuuzwa kwa uhuru zaidi.kwa kidogo nijuavyo mo alitaka kuchukua 100% ila baadaye ikatungwa sheria iliyolimit investor kumiliki 49%(minority). Kama kuna mtu atataka ku invest ndani ya simba itabidi amfuate mo wagawane hizo 49%. Hizo 51% ni za timu hazigusiki.
Nakuelewa na kukubaliana na wewe hadi hapo unaposema 51% hazigusiki. Nadhani huo utaratibu ni wa muda tu ila baadae naamini BAADHI ya hizo hisa zitawekwa katika soko la mitaji ili ziweze kununulika na kuuzwa kwa uhuru zaidi.
Pia Simba wanaweza kukusanya pesa nyingi sana kwa kuziingiza hizo hisa katika soko maana si tu watu binafsi watakaonunua ila pia makampuni na taasisi mbalimbali za fedha na uwekezaji.
Kwa hiyo faida itakuwa kwa pande zote mbili, club na wanachama pia.