Mo Dewji athibitisha kuwa aliinunua Simba miaka mitano iliyopita na ndio kitu kikubwa anachojivunia

Tulia dawa iwaingie
 
Angekuwa kanunua asingekuwa analalamika Kila siku twitter kuwa wanakwamisha mchakato wa mageuzi
 
Angekuwa kanunua asingekuwa analalamika Kila siku twitter kuwa wanakwamisha mchakato wa mageuzi
 
Kama kainunua timu ile michango ya kujenga uwanja tulichanga kwa utaratibu upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…