Mo Dewji awataka Simba kuleta kombe la ligi ya Mabingwa Afrika

Mo Dewji awataka Simba kuleta kombe la ligi ya Mabingwa Afrika

Mapinduzi cup tu limewashinda wanawaza cafcl hiiii baghosha[emoji848][emoji848][emoji848] anyway Aden Rage ajengewe sanamu
 
Huyo ponjoro simshangai kwa sababu watu wa kwenye hiyo ile kitu ya Msimbazi inawasumbua sana. Nakumbuka hata Kibu Denga alishawahi kuahidi atahakikisha Tanzania inashiriki WC
JamiiForums107413090_720x581.jpg
 
Rais wa heshima wa klabu ya Simba Muhamed Dewji leo ametembelea kambi ya mazoezi huko Dubai ambapo amepata nafasi ya kuongea na wachezaji na benchi la ufundi kuhusu mambo mbalimbali kuhusu klabu na mipango yake ya kuhakikisha Simba inatwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.

Inyeshe mvua liwake jua lazima ubingwa wa Afrika uje nchini mwaka huu[emoji1787][emoji1787]

#[emoji881][emoji881]NguvuMoja#View attachment 2476581View attachment 2476582View attachment 2476583
Hapo mbona kama [emoji1787]bunju
 
Kombe linabebwaje bila kitita cha 20B kuwekwa kwenye akaunti?
 
Mo ni Muhuni sana.

Yani Simba imeshindwa KUNUNUA Foward Hadi Leo.

Manzoki tu aliwashinda tangu Mwaka JUZI,

Unategemea uchukue UBINGWA na akina Kyombo na Dejan.
 
[emoji881]walete ubingwa wa caf champions league[emoji15][emoji15]
 
Huyu Ponjoro ni msanii zaidi ya Joti, kombe la mapinduzi unafungwa na mlandege halafu unataka kina Kibu na Kiyombo wakupe kombe la Afrika
Huyu ponjori hana tofauti na yanga walioamini wataingia hatua ya makundi caf cl wakati wanafungwa na timu kama ihefu
 
Rais wa heshima wa klabu ya Simba Muhamed Dewji leo ametembelea kambi ya mazoezi huko Dubai ambapo amepata nafasi ya kuongea na wachezaji na benchi la ufundi kuhusu mambo mbalimbali kuhusu klabu na mipango yake ya kuhakikisha Simba inatwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika mwaka huu.

Inyeshe mvua liwake jua lazima ubingwa wa Afrika uje nchini mwaka huu[emoji1787][emoji1787]

#[emoji881][emoji881]NguvuMoja#View attachment 2476581View attachment 2476582View attachment 2476583
Labda kombe la kufunika ili mwanaharamu apite
 
Back
Top Bottom