Mo Dewji aweke wazi Bilioni 20 au aiache Simba yetu. Inauma sana Simba Ile iliyoogopeka na Al Ahly leo kila timu inajipigia

Mo Dewji aweke wazi Bilioni 20 au aiache Simba yetu. Inauma sana Simba Ile iliyoogopeka na Al Ahly leo kila timu inajipigia

Alafu nahisi umelewa pombe Muda huu unaanza kupost thread wewe unazungumzia habari za bil 20 wakati hauna kitu mfukoni , vijana pombe hizi usiku huu wote huu
Wewe usiyezungumzia 20 B, unashingapi mfukoni? Au unaleta uhaya tu hapa, Huwa mmejawa masifa lkn deep down ni mbwaaa kuchoka !!.
 
Kama kuvumilia huwez mkuu tafuta nyagi. Mana naona tatu za Jan na hizi za Leo zote mmefungwa nyinyi
Mkuu swala sio kuvumilia.


Timu kama Yangaz Kuna wakati mmefungwa na Ihefu, yes mnalazimika kuvumilia huku mkijua, Mna timu Bora.


Sasa Kwa Simba, uvumilie nini Kwa Sasa ??
 
MO%20DEWJI.jpg
 
ujue mashabiki wa simba kuna sehem tunalaumu bila msingi au sababu ,kimsingi kufanya vibaya kwa simba kumpa lawama mo ni kuukimbia ukwel ,mo tokea apo kazi yake kutoa ela iwe usajili ama lingine ,tuambiane ukwel tu simba haina viongozi wenye uchungu na timu wamebaki maneno na uhongo tu ,unamwambia mo hakuachie timu unataka haiache mara ngapi ,,mimi siamini kama shida ya simba pesa ya usajili ilo uhongo ukiniambia ubahili na kujua sana nitakuelewa ,mfano mdogo kama wao hawana pesa za usajili mpaka atoe mo iweje ktk mikutano wanatangaza bajet karbu 10b ,iv kwel apo ukose b2 za usajili wachezaji ata watatu maaana ,kila msimu mfano ukitumia 2b ktk usajili unakuaje na timu mbovu kama ile , tatzo wanasajili kibahili na kwa kujifanya wajuaji usajili wa timu unafanyika kipind ligi zinaendelea wenye akir timamu wanaanza usajili kwa kuangalia shida yao ipi dilisha likishafungiwa unakua ushamak wachezaj wa eneo moja karbu machaguo matatu au zaid apo lazma utampata mmoja wa kueleweka ,sio unasubr dilisha lifunguliwe na wachezaji wengi apa kwetu dilisha likiwa wazi sana kawaida ya kujituma zaid ya kipaji sahihi ukijichanganya watakufuraisha mechi nne watakuuz msimu mzima , ata kama kila dilisha utasajili mchezaji mmoja unajua kabisa asipopata majeraha atakusaidia haina maana unaleta wachezaji wanane au zaid alaf wote viwango vyao bora walikuwepo ,nikuulze mtoa mada unaemlaumu mo ,kwa akir yako mo amewatuma kamat ya usajili imsajil mtu ambae hana mwaka hajacheza au kwa akir ya kawaida tu sawadogo ama beleke ndio usajili wa kumalza shida ya simba ,,,, kingine simba sijui kwann wanawang'ang'ania sana wachezaji bila msingi wanajiongezea mzgo wa posho na mishahara mpra sio ndoa useme utavumilia tu wakat kiwango au umr kinapotea bora ubak na ata wachezaji 24 lkn wenye viwango vya kurizisha sio zambi kuachana na wachezaji baadae ukawarudsha baada ya kuona ana maendeleo mazur ,mimi sijaona shida ya mo ila naona shida ya viongozi na kubwa zaid kamat ya usajili ama skaut ya wachezaji .
 
Kichwa lako umejaza Tope japo kwambali unataka kujionyesha wee ni mtu ila Kwa ukaribu kweli kabisa wewe sio Mtu.


Unahoji Simba kabla ya Mo , Je Uwekezaji wetu wa mpira na mazingira ya mpira kama Taifa Kwa ujumla yalikuaje kipindi hiko?.

Maendeleo ya Mpira Kwa ngazi ya Vilabu ni sawa na mtoto . Anayeanza Kwa kutambaa asimame, atembee akimbiee.

Sawa Mo Dewj Kwa kiasi chake kajitahidi kuinua Simba, lakini Sasa mazingira ya Leo hii, maendeleo ya Leo hii kimpira hapa Nchini, Afrika na Duniani kote....... Ni kwamba Hamna haja ya Yeye kama Mwekezaji Mkuu kuona haja ya kufanya maboresho ili kupendana na ushindani wa kisoka?? Na kama anaona ni gharama, ni kwamba haoni haja ya kusema ,Sasa Simba nimeinawa, Tukaribishe Mwekezaji ??.


Wewe Mpuuzi, unahisi Mo Dewj ndo Mwekezaji pekee ambaye anaweza kuivusha Simba??.


Yaan Timu iendelee kupitia misukosulo kwenye Dunia ambayo Sasa Soka ni Uwekezaji , Et kisa, Mo Dewj kaitoa mbali??.

Hayo ni mawazo ya kipumbavu , kitahira!!


Ni kweli kabisa, Mchango wangu ni Ada na pamoja na ununuzi wa jezi ya timu yangu.


Wewe umechangua nini?.
Kaka ni nani anaitaka Simba Mo anazuia?
 
Mimi mi Shabiki na Mwanachama wa Simba Sports Club!.

Kinachoendelea Kwa huyu Bwana Mo, ni uhuni, wizi , na ujanja ujanja wa kijinga sana ambao Sisi wanasimba ndio tunaulea.

Daktari Kigwangala, alivyohoji suala la Bilion 20, mamuluki walikuja mbele kumpondea Sanaa , lakini ukweli ni kwamba, Mo Dewj anajifanya Simba iendelee kua Simba ya Kizaman.

Jambo ambalo wengi hamlijui, Simba Ile ya misimu ya nyuma tulipokua tunatisha sana, ni Kwa sababu ya Mkono mkubwa na mchango mkubwa aloufanya Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar, Kijana Machachari ,PAUL MAKONDA

Mo Dewj, ni muhuni tuu, Utajiri wake ni Familia yake, Toka lini Muhindi akatoa Hela kuendesha Club?

SIMBA NI KUBWA SANA, SIMBA NI TIMU AMBAYO HAIWEZI KUKOSWA MMILIKI WA MAANA , SIMBA SASA YAPASWA IENDESHWE KIBIASHARA NA SIO BLAA BLAAH.

Kama Mo Dewj, hawez kuweka Bilion 20, aiache Simba, hatuwezi kukosa MMILIKI WA MAANA

Tazamen YANGA, Hawa hawatumii uchawi Wala nini, ni Uwekezaji, ni boliii ndo linapigwa na wachezaji toleo la kwanza.

Sio Simba, Simba hiii inashindwa kumnunua Manzoki? Mtazamen Mayele, Mayele utamlinganisha na mchezaji gan pale Simba??. JAMAA LINA NGUVU, SPEED, NA SKILLS ZA KUTOSHA na sio Mayele tu, tazama Safu ya ushambuliaji ya Yanga, Imeiva, Ina watu , ni seme wanapeleke moto kwelikweli !!.

Sasa Leo Simba, inategemea Boko?? Balekhe? KwelI?? Mambo ya ovyooooo ovyoooo ovyoooo kabisa !!.

Kwa Simba hiii hata Vipers watatufanya kitu mbaya, tusijipe Moyo na Imani za kipuuzi Et ohoooo point 6 za vipers n.k, ni upuuuzi, Kwan hata wao Vipers WANAWAZA hivohivo .

Namuonea huruma sana ROBERTINHO , Konya mzuri sana ,lkn amekutana na timj ya kisengee mnoo, matokeo yake lawama tunataka kumpa Kocha ?? Mambo ya ajabu sana.

Hata makundi kwenyewe, tumeingia Kwa kusua sua tuuu , hatuna timu ya kuiamini.

Hongera sana GSM, Hongera Yanga.

Mo Dewj, Kama Boli limekushinda, tuachie Timu. BAKI NA LIGI YAKO YA NGUMI.

WEWE MO DEWJ, KILA KITU UNATAKA??? BAKI NA NGUMI, TUACHIE SIMBA !!.
Kaka huu ujanja hata gsm anao pale yanga ila umefunikwa na matokeo mazuri wanayopata uwanjani
 
Mimi mi Shabiki na Mwanachama wa Simba Sports Club!.

Kinachoendelea Kwa huyu Bwana Mo, ni uhuni, wizi , na ujanja ujanja wa kijinga sana ambao Sisi wanasimba ndio tunaulea.

Daktari Kigwangala, alivyohoji suala la Bilion 20, mamuluki walikuja mbele kumpondea Sanaa , lakini ukweli ni kwamba, Mo Dewj anajifanya Simba iendelee kua Simba ya Kizaman.

Jambo ambalo wengi hamlijui, Simba Ile ya misimu ya nyuma tulipokua tunatisha sana, ni Kwa sababu ya Mkono mkubwa na mchango mkubwa aloufanya Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar, Kijana Machachari ,PAUL MAKONDA

Mo Dewj, ni muhuni tuu, Utajiri wake ni Familia yake, Toka lini Muhindi akatoa Hela kuendesha Club?

SIMBA NI KUBWA SANA, SIMBA NI TIMU AMBAYO HAIWEZI KUKOSWA MMILIKI WA MAANA , SIMBA SASA YAPASWA IENDESHWE KIBIASHARA NA SIO BLAA BLAAH.

Kama Mo Dewj, hawez kuweka Bilion 20, aiache Simba, hatuwezi kukosa MMILIKI WA MAANA

Tazamen YANGA, Hawa hawatumii uchawi Wala nini, ni Uwekezaji, ni boliii ndo linapigwa na wachezaji toleo la kwanza.

Sio Simba, Simba hiii inashindwa kumnunua Manzoki? Mtazamen Mayele, Mayele utamlinganisha na mchezaji gan pale Simba??. JAMAA LINA NGUVU, SPEED, NA SKILLS ZA KUTOSHA na sio Mayele tu, tazama Safu ya ushambuliaji ya Yanga, Imeiva, Ina watu , ni seme wanapeleke moto kwelikweli !!.

Sasa Leo Simba, inategemea Boko?? Balekhe? KwelI?? Mambo ya ovyooooo ovyoooo ovyoooo kabisa !!.

Kwa Simba hiii hata Vipers watatufanya kitu mbaya, tusijipe Moyo na Imani za kipuuzi Et ohoooo point 6 za vipers n.k, ni upuuuzi, Kwan hata wao Vipers WANAWAZA hivohivo .

Namuonea huruma sana ROBERTINHO , Konya mzuri sana ,lkn amekutana na timj ya kisengee mnoo, matokeo yake lawama tunataka kumpa Kocha ?? Mambo ya ajabu sana.

Hata makundi kwenyewe, tumeingia Kwa kusua sua tuuu , hatuna timu ya kuiamini.

Hongera sana GSM, Hongera Yanga.

Mo Dewj, Kama Boli limekushinda, tuachie Timu. BAKI NA LIGI YAKO YA NGUMI.

WEWE MO DEWJ, KILA KITU UNATAKA??? BAKI NA NGUMI, TUACHIE SIMBA !!.
Ww mfuasi wa jiwe una akili za kifala hebu tuambaie makonda alikuwa anachangia sh ngapi kwenye klub kipindi hicho mpaka useme alikuwa na mchango?

Kiufupi tatizo la simba sio pesa, tatizo la simba liko kwenye kamati ya usajili tangu Hanspop afariki pale kamati ya usajili pamejaa vilaza tu.

Hata wachezaji ambao sasa hivi ndo msaada kwa timu wote ni wale walio sajiliwa na Hanspop kabla ya kufariki.
 
Mpira wetu nadhani bado sana tunahitaji wawekezaji wa kweli sio Hawa kina MO na GSM Leo simba tunalia na B20 wakati tim ikishinda na kuogopeka hakuna alieulizia B20 ila tulichotaka simba ishinde tulisahau swala la mabadiliko ya kweli ni mhimu katika kipindi kifupi cha ushindi.Hata Kwa YANGA ndio ivo ivo Leo yanga inafanya vizur hakuna anaehitaji mabadiliko na kuhitaji muendelezo wa hiki tunachokiona Sasa Kwa YANGA pindi itakapo drop ndio tunaanza kushtuka. Thaman ya yanga hadi Sasa hatuijui mwekezaji ameweka sh ngapi kwenye account ipi hatujui .tuhitaji mabadiliko ya kweli
 
Mimi mi Shabiki na Mwanachama wa Simba Sports Club!.

Kinachoendelea Kwa huyu Bwana Mo, ni uhuni, wizi , na ujanja ujanja wa kijinga sana ambao Sisi wanasimba ndio tunaulea.

Daktari Kigwangala, alivyohoji suala la Bilion 20, mamuluki walikuja mbele kumpondea Sanaa , lakini ukweli ni kwamba, Mo Dewj anajifanya Simba iendelee kua Simba ya Kizaman.

Jambo ambalo wengi hamlijui, Simba Ile ya misimu ya nyuma tulipokua tunatisha sana, ni Kwa sababu ya Mkono mkubwa na mchango mkubwa aloufanya Aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar, Kijana Machachari ,PAUL MAKONDA

Mo Dewj, ni muhuni tuu, Utajiri wake ni Familia yake, Toka lini Muhindi akatoa Hela kuendesha Club?

SIMBA NI KUBWA SANA, SIMBA NI TIMU AMBAYO HAIWEZI KUKOSWA MMILIKI WA MAANA , SIMBA SASA YAPASWA IENDESHWE KIBIASHARA NA SIO BLAA BLAAH.

Kama Mo Dewj, hawez kuweka Bilion 20, aiache Simba, hatuwezi kukosa MMILIKI WA MAANA

Tazamen YANGA, Hawa hawatumii uchawi Wala nini, ni Uwekezaji, ni boliii ndo linapigwa na wachezaji toleo la kwanza.

Sio Simba, Simba hiii inashindwa kumnunua Manzoki? Mtazamen Mayele, Mayele utamlinganisha na mchezaji gan pale Simba??. JAMAA LINA NGUVU, SPEED, NA SKILLS ZA KUTOSHA na sio Mayele tu, tazama Safu ya ushambuliaji ya Yanga, Imeiva, Ina watu , ni seme wanapeleke moto kwelikweli !!.

Sasa Leo Simba, inategemea Boko?? Balekhe? KwelI?? Mambo ya ovyooooo ovyoooo ovyoooo kabisa !!.

Kwa Simba hiii hata Vipers watatufanya kitu mbaya, tusijipe Moyo na Imani za kipuuzi Et ohoooo point 6 za vipers n.k, ni upuuuzi, Kwan hata wao Vipers WANAWAZA hivohivo .

Namuonea huruma sana ROBERTINHO , Konya mzuri sana ,lkn amekutana na timj ya kisengee mnoo, matokeo yake lawama tunataka kumpa Kocha ?? Mambo ya ajabu sana.

Hata makundi kwenyewe, tumeingia Kwa kusua sua tuuu , hatuna timu ya kuiamini.

Hongera sana GSM, Hongera Yanga.

Mo Dewj, Kama Boli limekushinda, tuachie Timu. BAKI NA LIGI YAKO YA NGUMI.

WEWE MO DEWJ, KILA KITU UNATAKA??? BAKI NA NGUMI, TUACHIE SIMBA !!.
Acha ukabila, klabu ya Simba si ya matambiko.
 
Mpira wetu nadhani bado sana tunahitaji wawekezaji wa kweli sio Hawa kina MO na GSM Leo simba tunalia na B20 wakati tim ikishinda na kuogopeka hakuna alieulizia B20 ila tulichotaka simba ishinde tulisahau swala la mabadiliko ya kweli ni mhimu katika kipindi kifupi cha ushindi.Hata Kwa YANGA ndio ivo ivo Leo yanga inafanya vizur hakuna anaehitaji mabadiliko na kuhitaji muendelezo wa hiki tunachokiona Sasa Kwa YANGA pindi itakapo drop ndio tunaanza kushtuka. Thaman ya yanga hadi Sasa hatuijui mwekezaji ameweka sh ngapi kwenye account ipi hatujui .tuhitaji mabadiliko ya kweli
Yanga inaelekea kwenye mabadiliko,yaani haya ni manyunyu tu mvua yenyewe bado. Ila nyie Simba si mlisema yanga ijifunze kwenu au ?
 
Back
Top Bottom