Mo Dewji, Bakhresa, Rostam na takwimu za forbes, kipi kimejificha?

Mo Dewji, Bakhresa, Rostam na takwimu za forbes, kipi kimejificha?

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Habarini za muda huu

Mtaani kumekuwa na mijadala hasa iliochangiwa na ushabiki wa mpira Simba na Yanga kuhusu nani ndie mtu mwenye utajiri mkubwa hapa Tanzania?
Wengi walisema ni
Mo Dewji wengine SS Bakhressa

Lakini Forbes wao wanadai kuwa Mo ni wa kwanza tena kwa Gepu kubwa tu na Anafuatiwa na Rostam Aziz halafu ndio aje Bakhressa nafasi ya Tatu.

Maswali ya kujiuliza
Je utajiri unapimwaje?
Je nani tajiri zaidi Tanzania?
Je kwanini wananchi hawaamini Forbes??
Je Forbes huwa wanapatia wapi taarifa zao??
 
Utajiri hupimwa kwa njia nyingi lakini njia maarufu ni networth =mali kutoa madeni waliyonayo.

Na hapo kwenye mali huangalia market capitalization=idadi ya hisa x bei ya hisa sokoni.

Ni rahisi kupata hizi takwimu kwa kampuni inayouza hisa zake kwenye masoko ya hisa. Kwa wasiouza, ni mpaka wanapopublish taarifa zao za fedha.
 
Duh
Sasa anapata faida gani kujipaisha??

Dar es Salaam. Businessman Mohammed Dewji on Saturday announced his plans to increase the number of people directly and indirectly employed by his companies from 32,000 to 100,000 by end of 2021. Mr Dewji who is famously known as ‘Mo’ was speaking to The Citizen when commenting on the recently released Forbes’ ranking of Africa’s billionaires listing in 2021.

The listing shows that Mr Dewji has maintained his position as the youngest billionaire with unchanged fortune of $1.6 billion as compared to outcome of the 2020 evaluations.

Speaking to The Citizen, he said his intention was to collaborate with the government in building and promoting the economy of the country and individual citizens.

“Currently, I’m focused to promoting employment by increasing the number of my employees from 32,000 to 100,000 reaching end of the year,” he said.
 
MO ni masikini hata Bilioni 20 zimemshinda kutoa, wafanyakazi wake wanalipwa mishahara Hadi laki moja

Dar es Salaam. Businessman Mohammed Dewji on Saturday announced his plans to increase the number of people directly and indirectly employed by his companies from 32,000 to 100,000 by end of 2021. Mr Dewji who is famously known as ‘Mo’ was speaking to The Citizen when commenting on the recently released Forbes’ ranking of Africa’s billionaires listing in 2021.

The listing shows that Mr Dewji has maintained his position as the youngest billionaire with unchanged fortune of $1.6 billion as compared to outcome of the 2020 evaluations.

Speaking to The Citizen, he said his intention was to collaborate with the government in building and promoting the economy of the country and individual citizens.

“Currently, I’m focused to promoting employment by increasing the number of my employees from 32,000 to 100,000 reaching end of the year,” he said.
 
Mleta uzi bila shaka utakuwa huyo jamaa alovaa kofia nyeusi kwenye hiyo picha
FB_IMG_16209095113045338.jpg
 
Back
Top Bottom