Mo Dewji, Bakhresa, Rostam na takwimu za forbes, kipi kimejificha?

Mo Dewji, Bakhresa, Rostam na takwimu za forbes, kipi kimejificha?

Sababu kuu ya Mo kuwa juu zaidi kutokana na stock zake za nje hii kitu inamyajua sana huyu mtu. Bakhresa yeye hajaji invest sana kwenye stock market yupo sana kwenye viwanda na maboti. Angalia mfano wa Jeff Benzo na Elon Musk utanielewa


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Sababu kuu ya Mo kuwa juu zaidi kutokana na stock zake za nje hii kitu inamyajua sana huyu mtu. Bakhresa yeye hajaji invest sana kwenye stock market yupo sana kwenye viwanda na maboti. Angalia mfano wa Jeff Benzo na Elon Musk utanielewa


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]

Mo dewji went to Geogretown anasema Mo mwenyewe kwenye interview alikuwa darasa moja na Allen iverson those school days.

Sasa why asijue hayo mambo ya wall market
 
Mo dewji went to Geogretown anasema Mo mwenyewe kwenye interview alikuwa darasa moja na Allen iverson those school days.

Sasa why asijue hayo mambo ya wall market

Allen iverson kwa sasa ame broke sana hivi Georgetown university ya Washington DC?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Habarini za muda huu

Mtaani kumekuwa na mijadala hasa iliochangiwa na ushabiki wa mpira Simba na Yanga kuhusu nani ndie mtu mwenye utajiri mkubwa hapa Tz?
Wengi walisema ni
Mo Dewji wengine SS Bakhressa

Lakini Forbes wao wanadai kuwa Mo ni wakwanza tena kwa Gepu kubwa tu na Anafuatiwa na Rostam Aziz halafu ndio aje Bakhressa nafasi ya Tatu.

Maswali ya kujiuliza
Je utajiri unapimwaje?
Je nani tajiri zaidi Tz?
Je kwanini wananchi hawaamini Forbes??
Je Forbes huwa wanapatia wapi taarifa zao??
Umewazuria uongo forbes, angalia facebook forbes
 
Fobes uwa wanafatilia wamiliki wa hisa kwenye makampuni, wanafatilia acount zenye hela nyingi kwenye ma-bank, wanafatilia umiliki wa majengo na viwanda kisha ndo wanajua ni nani anafaa kuwa namba moja.

Ukitaka tu wakujie basi weka bank hela nyingi, nunua hisa kwenye makampuni, jenga na mijengo. Lazima utajulikana tu hakuna kificho.

Pablo Escobar alikuwa ananunua vitu ovyo, anaweka hela nyingi kwenye ma bank. Binamu yake alimuonya sana juu ya tabia yake hiyo. Mwisho wa siku fobes wakamtangaza nae ni tajiri na mpaka chanzo cha utajiri wake ukawekwa wazi kuwa ni muuza madawa. Ndo ukawa mwanzo wa kufatiliwa na FBI.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fobes uwa wanafatilia wamiliki wa hisa kwenye makampuni,wanafatilia acount zenye ela nyingi kwenye ma-bank,wanafatilia umiliki wa majengo na viwanda kisha ndo wanajua ni nani anafaa kuwa namba moja.

Ukitaka tu wakujie basi weka bank ela nyingi,nunua hisa kwenye makampuni,jenga na mijengo.lazima utajulikana tu hakuna kificho.

Pablo escobar alikuwa ananunua vitu ovyo,anaweka ela nyingi kwenye ma bank.binamu yake alimuonya sana juu ya tabia yake iyo.mwisho wa siku fobes wakamtangaza nae ni tajiri na mpaka chanzo cha utajiri wake ukawekwa wazi kuwa ni muuza madawa.ndo ukawa mwanzo wa kufatiliwa na FBI.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Bakhresa yeye anaweka pesa nyumbani chief? Pia ile hotel verde ya Zanzibar ni ya Mo? Nipe maarifa mkuu tafadhali

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Kuna utajiri wa makaratasi na utajiri wa vitu. Kuna mtu anaweza kucheza na makaratasi na kuweza kuonekana booonge la tajiri lakini kiuhalisia hana hata njururu.

Vipi wewe unaweza kucheza na hayo makaratasi ili uonekane tajiri...!?
 
Habarini za muda huu

Mtaani kumekuwa na mijadala hasa iliochangiwa na ushabiki wa mpira Simba na Yanga kuhusu nani ndie mtu mwenye utajiri mkubwa hapa Tz?
Wengi walisema ni
Mo Dewji wengine SS Bakhressa

Lakini Forbes wao wanadai kuwa Mo ni wakwanza tena kwa Gepu kubwa tu na Anafuatiwa na Rostam Aziz halafu ndio aje Bakhressa nafasi ya Tatu.

Maswali ya kujiuliza
Je utajiri unapimwaje?
Je nani tajiri zaidi Tz?
Je kwanini wananchi hawaamini Forbes??
Je Forbes huwa wanapatia wapi taarifa zao??
Ukitaka kuwateka watanzania mafukara kiakili wasahau hata kula wachilia mbali kulala, basi waanzishie mjadala wa ni nani wanafikiri ni tajiri zaidi mtaani kwao au wilayani, au mkoani au nchini au duniani. Ukianzisha mjadala kama huu wachangiaji na ubishi unakuwa mwingi na watu wako tayari kutumia hata muda wao wa kazi ili tu washiriki. Hivi ni kwa nini?
 
Kuna utajiri wa makaratasi na utajiri wa vitu. Kuna mtu anaweza kucheza na makaratasi na kuweza kuonekana booonge la tajiri lakini kiuhalisia hana hata njururu.
Sio kweli matajiri wanajulikana kwa vigezo wazi kabisa mfano pesa zake zote zinasoma Benki .Mabenki Ndio huwa mashahidi namba moja wa utajiri wa mtu mashahidi wa pili ni mamlaka za Kodi za mapato .Kodi huchezi na karatasi ingekuwa hivyo watani zangu wahaya Ndio wangeonekana matajiri wakubwa

Sio rahisi kufoji uonekane tajiri Hadi Forbes wakukubali.Vigezo viko wazi mno.Kujua wewe tajiri hata kupitia TRA records tu mtu aweza jua
 
Utajiri wa mtu kupitia Forbes upimwa kwa uwekezaji wake, mali zisizohamishika.
 
Mtaani kumekuwa na mijadala hasa iliochangiwa na ushabiki wa mpira Simba na Yanga kuhusu nani ndie mtu mwenye utajiri mkubwa hapa Tz??
Mi nakuambia hivi...

Hata mashabiki wa Simba Kindakindaki hawaamini kwamba Mwamedi ni tajiri kumzidi Bakhresa...

Tofautisha kati ya mashabiki na mashabiki mabumunda... manake hata mashabiki maandazi, angalau wana afadhali!!!

Kwanza pale alipo, watoto wa Mzee Gullam Dewji wakisema hapa hakuna cha Mwamedi Enterprise wala nini... hii mali ya ukoo hivi sasa tugawane nyama mbichi- wallah tena ikitokea hivyo hata mimi nitamzidi Mwamedi kwa utajiri...

HUTAKI, unaacha lakini ukwel ndo huo... nitamzidi kwa sababu Mwamedi anajifanya tajiri wakati mali yenyewe ni ya ukoo! Na ukisikia wivu, ndo huu sasa, jumlisha ushabiki maandazi humo humo; lakini mimi sio shabiki maandazi!!
 
Je, forbes wanaweza hongwa hela mfano wa MO ili wampe namba 1/nafasi ya juu?
 
Utajiri hupimwa kwa njia nyingi lakini njia maarufu ni networth =mali kutoa madeni waliyonayo.

Na hapo kwenye mali huangalia market capitalization=idadi ya hisa x bei ya hisa sokoni.

Ni rahisi kupata hizi takwimu kwa kampuni inayouza hisa zake kwenye masoko ya hisa. Kwa wasiouza,ni mpaka wanapopublish taarifa zao za fedha.
Watu wengi huwa wanadhani ni liquid cash! Utaskia "mo ana hela"
 
Habarini za muda huu

Mtaani kumekuwa na mijadala hasa iliochangiwa na ushabiki wa mpira Simba na Yanga kuhusu nani ndie mtu mwenye utajiri mkubwa hapa Tz?
Wengi walisema ni
Mo Dewji wengine SS Bakhressa

Lakini Forbes wao wanadai kuwa Mo ni wakwanza tena kwa Gepu kubwa tu na Anafuatiwa na Rostam Aziz halafu ndio aje Bakhressa nafasi ya Tatu.

Maswali ya kujiuliza
Je utajiri unapimwaje?
Je nani tajiri zaidi Tz?
Je kwanini wananchi hawaamini Forbes??
Je Forbes huwa wanapatia wapi taarifa zao??
Forbes taarifa unawapa wewe hawana uwezo wa kuchunguza kujua utajiri wako ni hadi uwapelekee taarifa mwenyewe. So sio matajiri wote upenda show off.
 
Sio kweli matajiri wanajulikana kwa vigezo wazi kabisa mfano pesa zake zote zinasoma Benki .Mabenki Ndio huwa mashahidi namba moja wa utajiri wa mtu mashahidi wa pili ni mamlaka za Kodi za mapato .Kodi huchezi na karatasi ingekuwa hivyo watani zangu wahaya Ndio wangeonekana matajiri wakubwa

Sio rahisi kufoji uonekane tajiri Hadi Forbes wakukubali.Vigezo viko wazi mno.Kujua wewe tajiri hata kupitia TRA records tu mtu aweza jua
Yaani unaamini kabisa kwamba hao Forbes wanaweza kupata taarifa za mtu kutoka kwenye mabenki?!

Na kama unadhani watu hawawapigi fix kuhusu utajiri wao just for hype, then ningekushauri Google kuhusu somebody Ross Wilbur!

Huyo jamaa alitokea kwenye Forbes List of Billionares mara kibao kabla hawajamshitukia kwamba alipika taarifa!!

Na kwa issue za karibuni kabisa, tunae mdogo wake Kim Kardashian... I mean, Kylie Jenna...

Klie.png


Kama unavyowajua "The Kardashian" kwa kupenda hype, Kylie alifurahia kweli kweli kutajwa "The Youngest Self Made Billionaire"!

Kwa bahati mbaya, unlike Ross Wilbur, Kylie akashitukiwa within 2 years... baada ya "kuvuliwa" title yake ya ubilionea, povu lake lilikuwa hili hapa:-
Kylie Twitter.png

Now, ask yourself...

US, ambako ni rahisi ku-verify data, bado watu wanapika data ili mradi tu watokee kwenye Forbes List, what about Bongo?! Na wala hawafanyi kazi kubwa, all they do is to cook tax returns data, then.... BANG!!
 
Back
Top Bottom