Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Mo na Katumbi wa TP Mazembe ni yupi anayeanza kuwekeza kwenye biashara ya mpira? Katumbi kapata mafanikio ndani na kimataifa je Mo kapata mafanikio gani kimataifa?Mo ndiye aliyeleta mabadiriko
Hakuna Tajiri mjinga kwenye uwekezaji .Hiyo biashara imeingiza faida kiasi gani? Wakati kila siku anatangaza anapata hasara
Rais wa klabu, Mohammed Dewji ametajwa na jarida la Face2Face Africa lenye makao makuu yake jijini New York, Marekani kuwa mmoja kati ya mabilionea wawili ambao wamesaidia kukuza biashara ya mpira wa miguu barani Afrika.Wabongo kujisifia ujinga na mambo yasiyokuwa na maana tuko vizuri.
Timu kama Al Ahly ambazo zimekuwa zinawalipa mishahara mikubwa wachezaji wake kama wa ulaya na kununua wachezaji kutoka ulaya zitasemaje?
Kutajwa si una weza uka lipia ili uonekane ??Rais wa klabu, Mohammed Dewji ametajwa na jarida la Face2Face Africa lenye makao makuu yake jijini New York, Marekani kuwa mmoja kati ya mabilionea wawili ambao wamesaidia kukuza biashara ya mpira wa miguu barani Afrika.
Kutajwa kwa Mo kumetokana uwekezaji na mafanikio ambayo Simba imeyapata tangu alipoanza kufanya uwekezaji katika klabu hii kubwa zaidi kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Unamjua katumbi?Mo ndiye aliyeleta mabadiriko
Kwahiyo hao wote wangeendelea kuonesha huku timu zetu zikiwa bado zinatembeza mabakuli kuchangishana pesa za kulipa wachezaji, kungekua na team gani tz ingefika kwenye michuano ya kibingwa ya Africa katika hali ya ushindani na si kushiriki tu.Big no, watu walio fanya mpira wa Africa uonekane biashara, SI mo dewji big nooo.
Total oil, dstv na Azam, hawa wame cheza nafasi kubwa sana kujenga soka hili.
Dstv ali kuwa ana onyesha klabu bingwa.
total oil ali dhamini kwa mkwanja mzuri.
Azam kaja kutu unganisha Wana east Africa kwa kutangaza na kudhamini pia.
Simba imechukuwa ubingwa mara ngapi wa Africa?Rais wa klabu, Mohammed Dewji ametajwa na jarida la Face2Face Africa lenye makao makuu yake jijini New York, Marekani kuwa mmoja kati ya mabilionea wawili ambao wamesaidia kukuza biashara ya mpira wa miguu barani Afrika.
Kutajwa kwa Mo kumetokana uwekezaji na mafanikio ambayo Simba imeyapata tangu alipoanza kufanya uwekezaji katika klabu hii kubwa zaidi kwa ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Mpira unalipa kwa mo ambae kila siku anadai anapata hasara?Yes this guy is genius Ila Bakhressa ndo kaifanya ligi yetu ipate ukubwa na kufatiliwa nchi nzima.
MO kaonesha kuwa mpira ni Ajira ambayo inalipa sana
Kaweka bilioni 20 SimbaKwani Mo na Katumbi wa TP Mazembe ni yupi anayeanza kuwekeza kwenye biashara ya mpira? Katumbi kapata mafanikio ndani na kimataifa je Mo kapata mafanikio gani kimataifa?
Haujamuona Mukwala?Mafanikio yapi simba imepata na uwekezaji upi ambao Mo amefanya Simba? Tuache kuwa tunasifia ujinga kisa umeandikwa kwenye Jarida fulani ambalo watu wanalipia ili kujitangaza.
Hao wote unaowataja wanarusha mpira ambao vilabu vina wawekezaji. Yes wana nafasi kubwa mno na bila wao ligi isingekua kubwa ila uwepo wao haufuti umuhimu wa wawekezaji katika Club husika.Big no, watu walio fanya mpira wa Africa uonekane biashara, SI mo dewji big nooo.
Total oil, dstv na Azam, hawa wame cheza nafasi kubwa sana kujenga soka hili.
Dstv ali kuwa ana onyesha klabu bingwa.
total oil ali dhamini kwa mkwanja mzuri.
Azam kaja kutu unganisha Wana east Africa kwa kutangaza na kudhamini pia.
Basi angesema kwa Tanzania au kwa Africa Mashariki na sio kwa Africa. Kwa Africa kuna watu wameanza kabla ya Mo na wamefanya makubwa na kuipa thamani mpira wa Africa.Kwahiyo hao wote wangeendelea kuonesha huku timu zetu zikiwa bado zinatembeza mabakuli kuchangishana pesa za kulipa wachezaji, kungekua na team gani tz ingefika kwenye michuano ya kibingwa ya Africa katika hali ya ushindani na si kushiriki tu.
Lazima tukubali kwamba Tz mpira ulikua haujapewa thamani kama ambavyo umepewa sasa, na Mudi ndio alikua mtu wa kwanza kuingia front na kuanza kuufanya mpira wa Tanzania uanze kupata nguvu katika level za ushindani na wengine nao ndio wakaingia kuja kuweka pesa kwenye vilabu vingine.
Sasa hivi unaona vilabu vya Tanzania vinagombania wachezaji na vilabu vingine vya kwenye top ten Africa na vinashinda hizo bato.
Kwahiyo jamaa apewe mauwa yake kwamba ameweza kuwafumbua watu macho na kuwafanya waweze kuona fulsa na kuanza kuwekeza kwenye mpira.