NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Sina muda wakutoa salamu Wala kuwajulia hali, kutokana na namna gani nilivyochafukwa kwa kuona mtani akisimangwa waziwazi na kanjibahi Mo dewji.
Wiki imekua ngumu sana kwa wanasimba kutokana na boss wao janja janja kuropoka kwenye media namna gani simba SC inavyomtia hasara lakini pia hakuishia hapo na kusema kuwa anawajua wote viongozi wa simba wanaoihujumu simba sc na wakiendelea atawataja hadharani.
Kutoka na kauli hizo za kanjibahi Mo dewji, naona kabisa ni nanmna gani anajaribu kucheza na akili za wanasimba hii ni hatari sana kwa maana anajua kabisa pale simba hakuna wakumbabaisha hakika ana amini simba kaishika kwenye koromeo hakuna wakusema chochote mbele ya kanjibahi.
Kuna kiongozi mmoja alishawahi kusema wanasimba ni mbumbumbu, huu msemo inaendelea kuwatafuna wanasimba waziwazi bila yakificho.
Hawajiulizi maswali haya "Kama simba inampa hasara kwa Nini haondoki??
Mo dewji huwa anaibuka kila anapoona simba imefika robo fainal lakini wanasimba wamefumba macho na masikio hakuna atakayehoji haya.
Ndiyoooo, kwani nana asiyejua kuwa mo dewji alimpambania mwenyekiti huyu mpya achukue kiti na alifanikiwa ili aendelee kula ugali wake pale simba bila kubughudhiwa na mtu yoyote??
Nani asiyejua kuwa kanjibahi aliratibu vijana kumpinga hamisi kingwala alipohoji juu ya zile bilioni hewa pale simba??
Babu yangu mzee NGWENA alishawahi kuniambia kuwa "mtu anayefanya kibarua mahali miaka takiribani kumi lakini ukimuuliza mafanikio yake juu ya hiyo kazi anayofanya hawezi kukuambia kweli Kama anapata faida Bali atalalamika tu nakusema hali ngumu tupo tunazuga tu."
Ndiyo kinachotokea kwa kanjibahi, hawezi kuweka wazi mafanikio anayoyapata hapo simba Bali ataendelea kulia Lia ili aonekane mwema na anaipambania sana simba sc.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wiki imekua ngumu sana kwa wanasimba kutokana na boss wao janja janja kuropoka kwenye media namna gani simba SC inavyomtia hasara lakini pia hakuishia hapo na kusema kuwa anawajua wote viongozi wa simba wanaoihujumu simba sc na wakiendelea atawataja hadharani.
Kutoka na kauli hizo za kanjibahi Mo dewji, naona kabisa ni nanmna gani anajaribu kucheza na akili za wanasimba hii ni hatari sana kwa maana anajua kabisa pale simba hakuna wakumbabaisha hakika ana amini simba kaishika kwenye koromeo hakuna wakusema chochote mbele ya kanjibahi.
Kuna kiongozi mmoja alishawahi kusema wanasimba ni mbumbumbu, huu msemo inaendelea kuwatafuna wanasimba waziwazi bila yakificho.
Hawajiulizi maswali haya "Kama simba inampa hasara kwa Nini haondoki??
Mo dewji huwa anaibuka kila anapoona simba imefika robo fainal lakini wanasimba wamefumba macho na masikio hakuna atakayehoji haya.
Ndiyoooo, kwani nana asiyejua kuwa mo dewji alimpambania mwenyekiti huyu mpya achukue kiti na alifanikiwa ili aendelee kula ugali wake pale simba bila kubughudhiwa na mtu yoyote??
Nani asiyejua kuwa kanjibahi aliratibu vijana kumpinga hamisi kingwala alipohoji juu ya zile bilioni hewa pale simba??
Babu yangu mzee NGWENA alishawahi kuniambia kuwa "mtu anayefanya kibarua mahali miaka takiribani kumi lakini ukimuuliza mafanikio yake juu ya hiyo kazi anayofanya hawezi kukuambia kweli Kama anapata faida Bali atalalamika tu nakusema hali ngumu tupo tunazuga tu."
Ndiyo kinachotokea kwa kanjibahi, hawezi kuweka wazi mafanikio anayoyapata hapo simba Bali ataendelea kulia Lia ili aonekane mwema na anaipambania sana simba sc.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app