Mo Dewji kaitelekeza timu yake African Lyon ataiweza Simba?

Mo Dewji kaitelekeza timu yake African Lyon ataiweza Simba?

Sawa mwelewa, tueleweshe hii ni club ya wanachama huyo tajiri akinunua mpunga atamlipa nani? Na wanachama haki zao zipo wapi? Acheni ujanjaujanja.
Mfumo wa hisa sio simba kuanza kutumia duniani na timu zote asilimia kubwa zinakuwa za wanachama.. kwa hivyo wa wanachama kufaidika hilo litawekwa wazi katika mkutano mkuu
 
Mtuachie Simba yetu ikifa ni yetu Acheni wenye pesa wafanye biashara ya mpira wanachama mbakie mashabiki tu
 
Mtoa mada kaauliza swali zuri hiyo hela anapewa nani?

Yaani unatumbukiza hela kwenye account ya Simba halafu wewe tena unapewa kumiliki Simba kwa hiyo unaenda kumiliki hela zako mwenyewe
yaani umetoa hela mkono wa kushoto na kupeleka wa kulia.
hela watapewa wanachama wagawane
 
Kama manji alipewa Yanga haijashuka ss hivi ni ya kimataifa hujui hilo
Manji hajapewa timu aimiliki kama yake bali wanachama wamempa ridhaa kuiongoza timu kama mwenyekiti.
 
Manji anachaguliwa na wanachama.
Je Mor, mmiliki atachaguliwa na nan??

Hivi unaelewa maana ya umiliki??

Manji anachaguliwa na wanachama kuwa nani???
Ulitaka mo achaguliweje???
 
Mtoa mada kaauliza swali zuri hiyo hela anapewa nani?

Yaani unatumbukiza hela kwenye account ya Simba halafu wewe tena unapewa kumiliki Simba kwa hiyo unaenda kumiliki hela zako mwenyewe
yaani umetoa hela mkono wa kushoto na kupeleka wa kulia.

Ww kilaza[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Yeye anatafuta faida kupitia simba hana machungu kwa hyo katika bidhaa anazomiliki simba Nayo kesho Ipo mikononi mwake
 
Hatuendeshwi kwa fikra za wana Yanga...
Cc kesho tunampa timu MO ili tuone km atatutelekeza....
Alf hata km akitutelekeza timu n ya kwetu cc nyny Mgunda mnapga kelele za nn...?
 
Naunga Mkono Simba Kubaki kama ilivo. Kama Dewji ana Talent za uongozi na yeye ni mwanachama wa simba anaruhusiwa kuogombea Uongozi ili afanye maendeleo anayo kusudiwa. Njia Nyengine ni kui sponsor Simba kwa udhamini wa muda mrefu .
Kuuza Simba kwa yeye kuimiliki hilo haliwezekani. Mimi ni mwanachama wa simba na mtu wa kwanza kwenda mahakamani kupinga hatua hii.
Simba ni timu ya wazee wetu wa Dar es salaam ..Pamoja na Yanga na Coastal Union na African Sports zina Historia za kipekee katika siasa za nchi hii tangu enzi za Kugombea Uhuru.
wazee wale waliziongoza timu hizi kwa mafanikio makubwa na ikawa ndio chachu ya maendelo ya Footbal Tanzania.
Simba ni Priceless..huwezi kuithamini kwa fedha kabisa. Ni club ambayo imeweza ku survive zaidi ya Miaka 70 ya dharuba kwa muundo wake huu huu uliopo ambao ni kuwa chini ya wanachama na wapenzi.
How much is share ya Club hii ?'
Na jee nani atakua beneficiary wa hizo share Jee wajukuu wa waanzilishi wa Simba au matapeli kina Hanspope na Aveva ?
Ni wa zi Simba sio Africa Lyon ambayo Dewji ilimshinda kuindesha kwa sababu moja tu..hakua tayari kuwekeza kama alivo ahidi.

Tunamshauri yeye na wote wanaopokea Rushwa waache ndoto zao halitawezekana kabisa hili.....bora simba ife kabisa kuliko kuuziwa mtu mwenye malengo ya kuifanya simba brand ya biashara yaek. Na hakika Tunaomba TAKUKURU Wachunguze wale wote wanaoshabikia hili kwani kuna kila dalili wanapokea rushwa kufanikisha mpango huu haramu
SIMBA NI YA WATANZANIA WAPENZI HAIWEZI KUUZWA NA HAITAUZWA..
eti bora ife..

ngedere wewe
 
Tuwekee shares kwenye soko tununue, sio kumpa mo on silver plate
 
eti bora ife..

ngedere wewe

Ssa huyo bas..ha wako amekwenda kusajili timu yake mpya MO F.C
Matusi kapeleke kwake...Simba Haiuzwi kwa Mhindi Bishoo utajiri wa kurithi...ujinga unafikiri atatoa Billion 20 mukishampa? maviii
 
Back
Top Bottom