Mo Dewji kaiva kwenye fitna za Kariakoo Derby

Mo Dewji kaiva kwenye fitna za Kariakoo Derby

HII YOTE NI AFRICAN SOCER SHOW
MPIRA WETU KIVYETU VYETU.

hawa wazee watakuwa na maamuzi makubwa , Watapiga sana pesa. Na hakuna timu itafanikiwa dhidi simba mbaka uchaguzi ujao.

1. Tuseme tu ukweli simba ikiwa pamoja hakuna timu inaweza ikapata hata sare kwa mkapa.
Eg RAJA na Alhly

2. Ogopa sana KAULI MBIU YA NGUVU MOJA.

3. Mo ameona matokeo si mazuri ndani na nje ya Klub mambo hayaendi kabisa (kukosa ubingwa 2 years)

4. Haya majeraha ya mala kwa mala ya wachezaji muhimu Manula Inonga, phiri aubin Kramo si kitu cha kawaida (gizani).

5.Sajili mbovu na kufungwa giza kwa Baadhi ya wachezaji.
Ayoub,Kramo,Saido,Miqui nk.

6. Baadhi ya wazee wanavyoamini wao wanasema wamepeleka mpira wa simba jangwanj kwasababu ya majeraha ya vyeo na makovu ya chaguzi.

Kama hawa wazee wote walioteuliwa wakikubaliana NGUVU MOJA.
Kila kitu simba kitakwenda sawa yatarudi yale ya Ubingwa mala 4 mfululizo.
Itarudi simba ya Biriani na lunyasi.

TUTEGEMEE SIMBA YENYE MAFANIKIO ZAIDI.
Quote
Yanga na simba head to head nani kamfunga mwenzake mara nyingi, na nani kamfunga mwenzake magoli mengi??
Nijibu tafadhali
 
Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri.

Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.

Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.

Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.
MtombaNgile. Huyu Ngile ndio nani na yuko wapi?
 
Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri.

Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.

Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.

Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.
maneno sema wewe wanaocheza aziz,pacome na max...
 
HII YOTE NI AFRICAN SOCER SHOW
MPIRA WETU KIVYETU VYETU.

hawa wazee watakuwa na maamuzi makubwa , Watapiga sana pesa. Na hakuna timu itafanikiwa dhidi simba mbaka uchaguzi ujao.

1. Tuseme tu ukweli simba ikiwa pamoja hakuna timu inaweza ikapata hata sare kwa mkapa.
Eg RAJA na Alhly

2. Ogopa sana KAULI MBIU YA NGUVU MOJA.

3. Mo ameona matokeo si mazuri ndani na nje ya Klub mambo hayaendi kabisa (kukosa ubingwa 2 years)

4. Haya majeraha ya mala kwa mala ya wachezaji muhimu Manula Inonga, phiri aubin Kramo si kitu cha kawaida (gizani).

5.Sajili mbovu na kufungwa giza kwa Baadhi ya wachezaji.
Ayoub,Kramo,Saido,Miqui nk.

6. Baadhi ya wazee wanavyoamini wao wanasema wamepeleka mpira wa simba jangwanj kwasababu ya majeraha ya vyeo na makovu ya chaguzi.

Kama hawa wazee wote walioteuliwa wakikubaliana NGUVU MOJA.
Kila kitu simba kitakwenda sawa yatarudi yale ya Ubingwa mala 4 mfululizo.
Itarudi simba ya Biriani na lunyasi.

TUTEGEMEE SIMBA YENYE MAFANIKIO ZAIDI.
Quote
Kiko wapi ?

Bado matarajio yapo ?
 
HII YOTE NI AFRICAN SOCER SHOW
MPIRA WETU KIVYETU VYETU.

hawa wazee watakuwa na maamuzi makubwa , Watapiga sana pesa. Na hakuna timu itafanikiwa dhidi simba mbaka uchaguzi ujao.

1. Tuseme tu ukweli simba ikiwa pamoja hakuna timu inaweza ikapata hata sare kwa mkapa.
Eg RAJA na Alhly

2. Ogopa sana KAULI MBIU YA NGUVU MOJA.

3. Mo ameona matokeo si mazuri ndani na nje ya Klub mambo hayaendi kabisa (kukosa ubingwa 2 years)

4. Haya majeraha ya mala kwa mala ya wachezaji muhimu Manula Inonga, phiri aubin Kramo si kitu cha kawaida (gizani).

5.Sajili mbovu na kufungwa giza kwa Baadhi ya wachezaji.
Ayoub,Kramo,Saido,Miqui nk.

6. Baadhi ya wazee wanavyoamini wao wanasema wamepeleka mpira wa simba jangwanj kwasababu ya majeraha ya vyeo na makovu ya chaguzi.

Kama hawa wazee wote walioteuliwa wakikubaliana NGUVU MOJA.
Kila kitu simba kitakwenda sawa yatarudi yale ya Ubingwa mala 4 mfululizo.
Itarudi simba ya Biriani na lunyasi.

TUTEGEMEE SIMBA YENYE MAFANIKIO ZAIDI.
Quote
Duh,kweli mahaba yanapofusha uwezo wa akili.
 
Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri.

Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.

Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.

Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.
20231106_130045.jpg

Screenshot_20231105-213137.jpg
 
HII YOTE NI AFRICAN SOCER SHOW
MPIRA WETU KIVYETU VYETU.

hawa wazee watakuwa na maamuzi makubwa , Watapiga sana pesa. Na hakuna timu itafanikiwa dhidi simba mbaka uchaguzi ujao.

1. Tuseme tu ukweli simba ikiwa pamoja hakuna timu inaweza ikapata hata sare kwa mkapa.
Eg RAJA na Alhly

2. Ogopa sana KAULI MBIU YA NGUVU MOJA.

3. Mo ameona matokeo si mazuri ndani na nje ya Klub mambo hayaendi kabisa (kukosa ubingwa 2 years)

4. Haya majeraha ya mala kwa mala ya wachezaji muhimu Manula Inonga, phiri aubin Kramo si kitu cha kawaida (gizani).

5.Sajili mbovu na kufungwa giza kwa Baadhi ya wachezaji.
Ayoub,Kramo,Saido,Miqui nk.

6. Baadhi ya wazee wanavyoamini wao wanasema wamepeleka mpira wa simba jangwanj kwasababu ya majeraha ya vyeo na makovu ya chaguzi.

Kama hawa wazee wote walioteuliwa wakikubaliana NGUVU MOJA.
Kila kitu simba kitakwenda sawa yatarudi yale ya Ubingwa mala 4 mfululizo.
Itarudi simba ya Biriani na lunyasi.

TUTEGEMEE SIMBA YENYE MAFANIKIO ZAIDI.
Quote
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom