ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kweli yamejirudiaNampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri.
Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.
Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.
Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.
Unachezea nyuki wamekuuma unatoa kilio? Hebu chomoa huo mwiko sasa
Vipi hutaki kulia tena kwa admin?
Kamati ya kusaidia kuchomeni ule mwiko wa tangu 1935labda kamati ya kitchen pati , 5 za nguvu
Hoja unayo wewe na mwiko wako nyuma tangu 1935Hauna hoja kijana juzi si ulikimbia hapa weweView attachment 2806855View attachment 2806856View attachment 2806857
Zimbwe una uhakika hawa ni Yanga? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂View attachment 2805852
Hatimaye mtoa mada katokomea kusikojulikana!! 😁
Kama isemavyo kauli mbiu yenu?
Ikawaje tena??Nampongeza Mo Dewji kwa Kitendo cha kuteua wajumbe wa bodi la baraza la ushauri.
Hawa wote walioteuliwa ni wazee wa fitna ndani na nje uwanja.
Dewji ulifanya kitu sahihi kuwakusanya wale wazee wa fitna na kuhakikisha Simba inatawala soka la ndani Tanzania kwa miaka 4 mfululizo mpaka wale wazee wa mwiko nyuma fc watie adabu.
Sasa makundi ndani ya Simba basi poleni sana majirani Nilipata wasaa kukaa na mzee mmoja lia lia na mnazi wa mwiko nyuma fc alianiambia kabisa November 5 wanakufa kabisa bila ubishi tena inawezekana yakajirudia yale ya 2012.
foundation kwenye foundation ,5Kama isemavyo kauli mbiu yenu?