Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni kwa maneno ni zaidi ya dalaliMO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.
“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"
“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”
RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.
Source :FutbalPlanetUpdates
Moja ya matapeli hapa nchini ni huyu mhindiMo amesahau tuko mwezi wa ramadhani anasema uongo
Anamtaka bure [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38]Kaishasema hawezi kuvunja mkataba ila kama Mayele mwenyewe atavunja mkataba na Yanga sawa.[emoji23][emoji23][emoji23]
acha manzoki mudadhir tu walimshindwaKama walimshindwa Manzoki .....huyu predator watamuweza???
Kuna sheria za usajili amekwepa mtego, usidhani Mo hana akiliKaishasema hawezi kuvunja mkataba ila kama Mayele mwenyewe atavunja mkataba na Yanga sawa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani amekosea? Wewe umemuona wapi Mbappe? 😄Hamjui na hajawahi kumuona mayele ila ameshaona video zake akifunga 😃
muhindi kumbe anatakaga mwenyewe kupigwa,wape hela wezi ya kumnunua mayele wamuongezee mkataba kapama na kibu...kye kye kyeee nyingine wakamalizie nyumba zao kigamboniMO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.
“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"
“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”
RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.
Source :FutbalPlanetUpdates
Humjui mbappe?Kwani amekosea? Wewe umemuona wapi Mbappe? 😄
Namuona tu kwenye clips mitandaoni, ila sjawahi kumuona 😄 😄 😄Humjui mbappe?
Basi sawa 😂Namuona tu kwenye clips mitandaoni, ila sjawahi kumuona 😄 😄 😄