Mo Dewji: Kama Mayele yupo tayari kuvunja mkataba wake na Yanga, tutambeba

Mo Dewji: Kama Mayele yupo tayari kuvunja mkataba wake na Yanga, tutambeba

Anataka Mayele mwenyewe avunje mkataba na Yanga! Ndiyo wamsajili! [emoji848]

Hivi usikute hata yule mla ugali na sukari, atakuwa alishawishiwa na watu wajanja kama hawa!!

Hivi katika hali ya kawaida, mchezaji anayejitambua kama Mayele anaweza kweli kuvunja mkataba wake na Yanga, ili akasajiliwe simba!!
Sasa hujui kuwa kila mchezaji ndoto yake ni kucheza simba sc ua unajutoa fahamu???!!!!
 
Mayele hana hadhi ya kuchezea Simba!! Tukimchukua ataozea benchi!! Lengo ni kuwakera "wananchi"
 
Kwani kuwa mtu wa michezo lazima uangalie mechi za utopolo?????
Mfano mimi mechi ya uto ninayoiangalia ni ile wanayocheza na simba tu...sababu sivutiwi na aina ya soka lao.........

Yeye kasema haifuatilii uto ,hajasema kuwa haangalii hata derby,

AKILI MTU WANGU.
Ko hakuna mchezaji wa yanga unamjua?
Kwahiyo mo hajui wapinzani wake wakoje? Kwamba ubora wa simba anapimaje?
 
Kaishasema hawezi kuvunja mkataba ila kama Mayele mwenyewe atavunja mkataba na Yanga sawa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa ndio wahuni kwenye mpira wetu.nadhani hawa ndio waliomrubuni Feisali hawa.kama wanamtaka mchezaji wanashindwa vp kumnunua?
 
MO: TUKIMTAKA MAYELE, TUTAMBEBA.

“Sifuatilii sana mechi za Yanga...Sijamuona Mayele kwenye mechi namsikia, namuona kwenye mitandao naona clip zake anavyofunga magoli nampongeza ni mchezaji mzuri sana na namuombea kila la kheri"

“Simba tuko tayari kumpata mchezaji bora popote Afrika kwa hiyo kama Mayele atakuwa ameorodheshwa na mkataba wake yuko tayari kuuvunja na Yanga na kuja Simba basi simba itakuwa tayari,”

RAIS WA HESHIMA WA KLABU YA SIMBA, MOHAMMED DEWJI.

Source: FutbalPlanetUpdates


Tatizo la MO ni moja tu..

Yaani utafikiri sio billionaire, ana tabia, lugha za kienyeji sana au sijui nisemeje, yaani anatafuta very cheap popularity or publicity utafikiri celebrity wa mitaani, yaani tabia ya kimaskini kabisa anayo wakati ni tajiri..

Matajiri hawana tabia kama ya MO, yaani MO anaweza bishana na Manara au Baba Levo au hata Mwijaku au watu wanaotafuta umaarufu wa kijinga tu, hiki ndio kitu anakosea MO.

Matajiri hawana tabia hizo kabisa, mara aseme katumia bilioni 85 Simba, mara bil 50, hizi hela atumie MO? Nyie jamaa muongo sana huyu, hata Simba yenyewe hajatoa hata senti ila kachukua 51% shares bure bure, hatajoa hata senti, uongo mtupu, mara aseme Simba ni hasara sana kwake, uongo mtupu, hivi bidhaa zake kwenye jezi ya Simba angeamua kutangaza angetoa shilingi ngapi kwa miaka yote?

Unaweza ona MO ni tajiri kifedha ila maskini kabisa kitabia na maisha halisi ni maskini.

Mo anasema, eti hajamuona Mayele kwenye mechi? Hata Yanga na Simba wakicheza hajamuona Mayele akicheza? MO muongo sana huyu jamaa, tabia za kienyeji sana hizi.
 
Tatizo la MO ni moja tu..

Yaani utafikiri sio billionaire, ana tabia, lugha za kienyeji sana au sijui nisemeje, yaani anatafuta very cheap popularity or publicity utafikiri celebrity wa mitaani, yaani tabia ya kimaskini kabisa anayo wakati ni tajiri..

Matajiri hawana tabia kama ya MO, yaani MO anaweza bishana na Manara au Baba Levo au hata Mwijaku au watu wanaotafuta umaarufu wa kijinga tu, hiki ndio kitu anakosea MO.

Matajiri hawana tabia hizo kabisa, mara aseme katumia bilioni 85 Simba, mara bil 50, hizi hela atumie MO? Nyie jamaa muongo sana huyu, hata Simba yenyewe hajatoa hata senti ila kachukua 51% shares bure bure, hatajoa hata senti, uongo mtupu, mara aseme Simba ni hasara sana kwake, uongo mtupu, hivi bidhaa zake kwenye jezi ya Simba angeamua kutangaza angetoa shilingi ngapi kwa miaka yote?

Unaweza ona MO ni tajiri kifedha ila maskini kabisa kitabia na maisha halisi ni maskini.

Mo anasema, eti hajamuona Mayele kwenye mechi? Hata Yanga na Simba wakicheza hajamuona Mayele akicheza? MO muongo sana huyu jamaa, tabia za kienyeji sana hizi.
Tajiri wa ukoo
 
Back
Top Bottom