Mo Dewji kawadanganya tena mashabiki wa Simba?

Mo Dewji kawadanganya tena mashabiki wa Simba?

Halafu mimi kama mshabiki suala la utajiri halinigusi isipokuwa hatua gani za kimashindano tunafikia.
 
Shabiki wa makolo anazungumzia mikataba ya bilion moja, mbili, wenzako wanaingia mikataba ya mapound ya mamilion. Afu hii sio simba tu hata yanga.
.
Sikia unaweza kuwa una mikataba mizuri kwa Mazingira yetu ya hapa but huwezi kulinganisha na wenzetu wa sauzi na waarabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Thadei Ole Mushi.

Watanzania ni wepesi sana wa Kudanganywa. Jana niliandika kuhusu IQ zetu kuwa chini leo tena tumedanganyika.

Kupitia Ukurasa wa Mfadhili wa Simba Mo Dewji ameweka Poster inayoonyesha Simba kuwa moja ya Club 10 kwa Utajiri Afrika.

Nimezunguka kila Pembe ya Mitandao ya Africa ikiwemo CAF yenyewe kuona taarifa hiyo sikuona Popote.

Fuata link kuona alichokipost Mo Dewji.



Kote nilikopita wametaja Club 10 Tajiri kwa Africa kama ifuatavyo..

1. Al Ahaly
2. Kaizer Chiefs
3. Pyramids
4. Club African
5. Zamalek
6. Orlando Pirates
7. Whydad Casablanca
8. TP Mazembe
9. L' Esperance
10. Mc Alger.

Hii ni list ya 2022... fuata link zifuatazo kuona.

1. Mtandao wa Wikisouthafrica


2. Mtandao wa Newshub 360


3.Mtandao wa Briefly Richest football clubs in Africa: Which club is the wealthiest?

4. Mtandao wa Sport Briefy


Mo anaitaja Simba Kama Club Tajiri kutoka Source ipi? Tunatamani kweli kuwa na Timu Tajiri ila sio Utajiri wa Michongo.

Kinachonishangaza mashabiki wa Simba wanapongezana sasa hivi kwenye ulanzi. Kwa nn tunakuwa wepesi hivi kudanganyika?

Hata List ya Timu 10 tajiri 2021 Simba haipo na Hata kiuhalisia Simba haiwezi kuipita hata Azam kwa Utajiri hapa nchini achilia mbali huko Africa.

Cha kushangaza Mashabiki wote wa Simba wana akili za kufanana. Na sijui kwa nn IQ zao zinalingana hata graduate anashindwa kupata data Rahisi kama hizi kwenye Source Mbalimbali.

Ole Mushi
071702602
[3/2, 12:49] +255 717 158 181: Africa's Top 20 most valuable clubs
Al Ahly (Egypt) - €30.75m
Mamelodi Sundowns (South Africa) €21.3m (R382 million)
Zamalek (Egypt) - €20.55m
Pyramids FC (Egypt) - €19.43m
Orlando Pirates (South Africa) €18.15m (R325.9 million)
Esperance Tunis (Tunisia) - €17.63
Kaizer Chiefs (South Africa) - €14.63m (R262 million)
Wydad Casablanca (Morocco) - €13.21m
Etoile Sportive du Sahel (Tunisia) - €13m
CR Belouiszdad (Algeria) - €12.05m
Raja Club Athletic Casablanca (Morocco) - €10.35m
USM Alger (Algeria) - €10.05m
AmaZulu (South Africa) - €9.68m (R173 million)
Paradou AC (Algeria) €9.53m
SuperSport United (South Africa) - €9.48m (R170 million)
ES Setif (Algeria) - €9.2m
Cape Town City FC (South Africa) - €8.88m (R159 million)
Club Sportif Sfaxien (Tunisia) - €8.85m
MC Algiers (Algeria) - €8.83m
US Monastir (Tunisia) – €8.8m
Usituhusishe watanzania wote na mambumbumbu wachache.
 
Hivi lile pagala la Makolo linalotumiwa na mama Lishe lina hata choo kweli
 
Tumeshazoea kudanganywa na Boss Mo.

Bil. 25 + Bil. 20 = Bil. 85
 
Sema mo mjanja anamuingiza mtu king na anakuja mzima mzima halafu yeye anatoka
Ukiangalia matukio ya MO utaona kabisa ni ya kumlenga yule chizi aliye yanga na yeye anakuja mzima mzima bila kutafakari.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya tajiri GSM na Mo, huwezi hata siku moja kukuta GSM anaongea pumba pumba na mashudu kama Mo
 
Yaan klabu 10 tajiri alafu bado makolo inaendeshwa kwa hasara hahaha ponjoro panjuani
 
Ole mushi hajasoma caption .. ananidhalilisha Mangi mwenzake
 
Mwamedi anawatesa hamlali usimgizi, siku hizi yuko zake tik tok nyie endeleeni kulia lia tu..
 
Back
Top Bottom