Mo Dewji kawadanganya tena mashabiki wa Simba?

Watanzania kweli tunapenda sana kusikia habari za kupikwa kutoka mataifa mengine kuliko za makanjanja wa nchini kwetu.! Huo ushahidi wa ole moshi unatofauti gani na habari za ndani za kina privaldinho hizo si blog tu za kawaida na wao wameandika timu tajiri??? Sasa kama caf hawajaandika anpataje mamlaka ya kushutumu kuwa watanzania wana iQ ndogo kuliko. Mbona yeye kaweka ushahidi wa mablogers wa south.ambao pia ni makanjanja.?????
 
😂😂😂
Hata Kaduguda amedanganyika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…