Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ndugu mwanamichezo, una maoni gani kuhusu kauli ya Mo Dewji aliyoitoa leo alipotembelea kikosi cha Simba, Bunju Complex
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThubutuHata kama ni kweli hamna mfanyabiashara atasema anapata faida kwenye sehemu yenye faida ili wengine wasiwe interested.
Leo akitokea mwingine akisema anataka awekeze bil 40 Simba je Mo ataachia kwa ajili anapata hasara?
Kweli kabisa,aachie ngazi tuone kama ataachiaMbona haongelei faida anazopata kwa kujaza matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi za Simba?
Kweli kabisa,hakuna mfanyabiashara ama mfanyakazi aliyeajiriwa anayesema pale pananitosheleza utasikia tu hela yao ni ndogo sana yaani malalamiko kama yote,hapo mwambie basi acha kazi kama unaona haikulipiHata kama ni kweli hamna mfanyabiashara atasema anapata faida kwenye sehemu yenye faida ili wengine wasiwe interested.
Leo akitokea mwingine akisema anataka awekeze bil 40 Simba je Mo ataachia kwa ajili anapata hasara?
Kweli kabisa,aachie ngazi tuone kama ataachia
Hata kama ni kweli hamna mfanyabiashara atasema anapata faida kwenye sehemu yenye faida ili wengine wasiwe interested.
Leo akitokea mwingine akisema anataka awekeze bil 40 Simba je Mo ataachia kwa ajili anapata hasara?
Hata kama ni kweli hamna mfanyabiashara atasema anapata faida kwenye sehemu yenye faida ili wengine wasiwe interested.
Leo akitokea mwingine akisema anataka awekeze bil 40 Simba je Mo ataachia kwa ajili anapata hasara?
Ingekuwa ni hasara si angeacha kuwekeza. Jezi kaweka mikorokoro kibao alafu anasema hasara?Huo Ni ukweli Kuwekeza Kwenye Timu yoyote Tanzania Ni Hasara. Kwa Mfanya Biashara Ambaye Yuko Serious Ataelewa Hili.
Kwasababu Timu Za Tanzania Matumizi ni Makubwa kuliko Faida. Tuwe Realistic Tuuu na Tuache Ushabiki Kwasababu Mo Kaongea. Ukweli Kuwekeza Ni Hasara. Wewe Unawekeza Timu ya Tanzania....