Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
kumshinda GSM aka HSC ?Jizi na li-tapeli hiloo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumshinda GSM aka HSC ?Jizi na li-tapeli hiloo
Mimi naamini kabisa kwa sasa anafanya kwa hasara, sema ana expectations fulan in future.Kwahiyo unaamini kabisa anafanya biashara ya hasara?!
Ikiwa African Lyons ambayo alikuwa anaamiliki kwa 100% aliamua kuipiga bei baada ya kuona hakuna anachopata, sasa kipi kinamfanya aendelee kuingia hasara kwa timu ambayo haimiliki kwa 100% tena huku akikumbwa na masimango kibao?
Btw, tangu lini gate collections ikawa ndo biashara kuu ya soccer club?!
Sijaelewa vizuri hoja yako mkuu, hebu iweke sawa tuelimishaneAcha fix mkuu, ukiangalia PAYE za Simba kwa mwezi huwezi sema hao jamaa wanalipwa mil 10, 15 au hata 7 kwa mwezi. Acha uongo, watu wanadanganyana sana. Labda wasema wanapata hizo pesa kama posho.
Ndo hoja yangu na mimi hiiUnataka atoe hela zake alafu akae kimya tu ata kama anaona mambo hayaendi vizuri.au unadhani moo pesa yake haimuumi?.Au hivi simba inavyocheza ovyo unadhani aumii.wewe shabiki ni rahisi kuongea maana huna chakupoteza timu ikifanya vibaya ila mwenzako zile ni pesa kaweka sio kelele zakushangilia.Na sidhani kama hao kina hans pope waliwahi kutoa hata bilioni 2.Tumuache moo aongee ukweli na aonee uchungu pesa zake ili timu ifanye vizuri.kelele za moo ni faida kwa timu ili ijitathimini.Hii misimu yote 4 ambayo simba imemsumbua yanga nikwasababu yanga alikua hana mwekezaji wakueleweka na simba ilikua na Moo.Sasa sitakake kurudi tulikotoka kwasababu mashabiki hamtaki kusikia aliyeweka pesa kipindi chote cha timu inafanya vizuri mnashangilia akiziongelea pesa zake.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
yaani hilo kwa sasa ndilo jizi na lihujumu uchumi no.1 Tz nzima, hili halina hata ubishi usifikiri akina jiwe na bashite waliliteka kwa bahati mbayakumshinda GSM aka HSC ?
Simba hulipa wachezaji wao kila mwezi, na wakati huo wachezaji hao hulipa kodi (PAYE) kila mwezi, ukiangalia PAYE za klabu na SDL yake, utaona wazi hiyo mishahara mnayoisema hapa haipo. Hakuna mtu pale analipwa mil 15 kwa mwezi hayupo.Sijaelewa vizuri hoja yako mkuu, hebu iweke sawa tuelimishane
Lakini pia usisahau umesema 40 Billion in 10 Years kwa Mo ni pesa ndogo...Mimi naamini kabisa kwa sasa anafanya kwa hasara, sema ana expectations fulan in future.
But soon or later you will see my friend
Ingekuwa ni hasara si angeacha kuwekeza. Jezi kaweka mikorokoro kibao alafu anasema hasara?
Unaweza niambia Faida ya Yeye Kuweka Logo pale anaipatajeMbona haongelei faida anazopata kwa kujaza matangazo ya bidhaa zake kwenye jezi za Simba?
Mkuu, huu ndio ukweli! Nawashangaa wanaodai MO anapata faida kubwa kwa matangazo.
Tumeona GSM alikuwa anatangaziwa na timu 15,lakini akaona hakuna kitu, na kuamua kumwaga manyanga!
Hebu tafakari...
Azam Media wana Mkataba na Yanga wa Billions of TSh kwa MAUDHUI peke yake!!!
Je, unaamini Azam Media hawana akili hadi wawekeze pesa zote hizo kwa ajili ya maudhui peke yake?
Kwavile Yanga na Simba wana almost the same market power, sasa assume Mwamedi angekuwa ndie Mmiliki wa Yanga! Kwamba, anamiliki timu inayokula mkataba wa zaidi Sh 40 Billion (kwa miaka 10) kwa maudhui peke yake!!
Sasa linganisha huo mkataba wa Billion 40 na hiyo Billion 45 inayompa umiliki wa 49% of the club huku bado kila wakati akiendelea kulia lia kwamba anapata hasara!! Hapo hujataja mikataba ya haki za matangazo, uuzaji jezi, mikataba mingine kama ile ya SportsPesa na gharama ambayo angeingia kutangaza bidhaa kama asingekuwa anatumia Brand ya Simba!!
Hujajibu swali la jamaa hapo juu halafu liko wazi kabsa ila naona unalikwepa kwa maksudi. Jamaa kauliza hivi leo hii akitokea mtu anataka kuweka 40B, Mo atakubali kuiachia kwakua anasema anapata hasara kuindesha Simba SC?!
Bilioni 20 hazijatolewa cash.
Zimetolewa kama faida ya hatifungani, so probably 3-3.5 bil a year kuanzia mwaka huu.
Jumla ni 29bil so far zimeenda kwenye operations ( kiuhalisia).
Simba ingemiliki tu media zake vizuri, ingeweza kuingiza hela hizo katika miaka minne. msipende kujipa unyonge hizi timu zinaweza kuleta faida zikisimamiwa vizuri.
Hata wanachama laki mbili wa Simba wakilipa 30,000 kwa mwaka au 2500/- kwa mwezi wanaipiku hiyo hela.
Biashara zake si anafanya tanzania au
Ndugu mwanamichezo, una maoni gani kuhusu kauli ya Mo Dewji aliyoitoa leo alipotembelea kikosi cha Simba, Bunju Complex
View attachment 2114010
Mkuu niumie kwa vipi. mimi ni mchumi na mhasibu,nauelewa mkubwa sana kuhusu biashara. Mwekezaji kaeleza changamoto za biashara na kwamba haijaanza kulipa. Lakini ameonyesha nia ya kuendelea kuwekeza angalau kufikia break even point. Kwa nini iwe tatizoHii habari umeiona mkuu?? OKW BOBAN SUNZU nakushtua isikupite, najua inauma ila ukweli mchungu.