Umeniwahi swaliKwahiyo?
Unfollowiana[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Hata manara na Mo +BRB wameunfollowiana.
Chombo ya boss ile, ukiiletea maneno maneno kazi iko potea🤣Nafkr ni baada ya Mond kuonesha yupo upande wa Manara...Nimeskiza press ya Haji vzr..yule Mwanamke ataimalza simba
Ni kwel mkuu. Utoto sana.Mi hata nikikosana nawewe nita buy buy time then nakutema kimya kimyahuwa naona kumu_unfollow mtu baada ya viugomvi vidogo ni kukosa maturity..
Pambaneni on the ground hivi vitu vya mtandaoni ni kutaka attention na drama tu
Dah kwel nyapu hatari [emoji1787]Chombo ya boss ile, ukiiletea maneno maneno kazi iko potea[emoji1787]
he he he[emoji1787][emoji1787] Hata manara na Mo +BRB wameunfollowiana.
Kutofuata=Unfollow, Fuata=Followhe he he
hivi kiswahili cha instagram Unfollow
kinatamkwaje maana
maneno mengne kuyaandika inakuwa mtihani sana
Kwani insta ishafika miaka 12 tangu ianzishweMbona tupo wengi tu ambao hatujamfollow diamond mi tangu niingie insta 12 years hakuna msanii wa bongo niliyemfollow kabisaa ila watu maarufu ambao sio wanamuzik au waigizaji wengi nimewafollow