Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Seems hii ya kusitisha kufuata imeleta maana zaidi ya Kutofuata shukran kwa marekebisho mkuuKutofuata kuwa unfollow si sahihi kwa maana halisi ilivyotumika, you were following someone then you unfollow him/her.
Bora ungeandika unfollow ni 'kusitisha kufuata'[emoji38][emoji38], Kiswahili kina upungufu sana wa vocabularies.
I stand to be corrected.
Hivo hivo tunasonga. Hicho ndo kiswahili chake. Uviko 19 🤣🤣he he he
hivi kiswahili cha instagram Unfollow
kinatamkwaje maana
maneno mengne kuyaandika inakuwa mtihani sana
🤣
Tanzania hatujafika hatua ya kususa,bidhaa zitanunulika tuUjinga huu.. Yaani unamu-unfollow mtu kisa Manara wao? Walikuwa wanajisikia raha sana wakati Manara anawashambulia wengne... Sasa Manara kapiga NDANI KWAO wanahaha..!!! Wasisahau huyo wanayemu-unfollow naye ana wapenzi tena watumiaji wakubwa wa bidhaa zake..!!! WENGINE "WATAZI-UNFOLLOW" BIDHAA ZAKE..!! Vita ya kiuchumi hiyo wameianzisha
Hahaaa kiswahili ni kipana na kina misamiati mingi tu mkuuKutofuata kuwa unfollow si sahihi kwa maana halisi ilivyotumika, you were following someone then you unfollow him/her.
Bora ungeandika unfollow ni 'kusitisha kufuata'[emoji38][emoji38], Kiswahili kina upungufu sana wa vocabularies.
I stand to be corrected.
Hahahahahhe he he
hivi kiswahili cha instagram Unfollow
kinatamkwaje maana
maneno mengne kuyaandika inakuwa mtihani sana
Ni kwel mkuu. Utoto sana.Mi hata nikikosana nawewe nita buy buy time then nakutema kimya kimya
Swali zrMbona walivyomfollow hukuleta uzi pia?
Diamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.Huko twiter mambo yameanza mabosi wa Simba waanza kum unfollow Diamond [emoji184] PlatinumzView attachment 1881539
Hana hela yyte Yule mhuni Tu huyo Mo wako, ukiunganisha dot huyo Mo wako ni siasa tuu, kuanzia drama za Maghufuli, matukio ya manara, malalamiko ya wafanyakazi wake kuhusu maslahi na sarakasi za uwekezaji Simba ni tofaut kabisa na tunavyoaminishwa kuwa ni tajiri wa Africa , mambo ni tofaut Kwa silent killer kama Bakhresa , hustle zake zinaonekana na nchi inaenjoy uwekezaj wake , na Mzee wa watu hajawah ingia kwenye mvutano na high command ...!! Mo ajiangalie na huyo CEO wake..,!!Diamond ajiangalie sana, he is too young kujiingiza kwenye Vita kati yake na business mogul.
Mo hajaanza biashara Jana na ana uzoefu wa biashara kubwa sana dogo anaingia kwenye vita isiyomhusu kabisa.
BTW anajiingiza upande waManara ambaye is a loser dogo huu sio muda wa kuingiza brand ya wasafi kwenye Vita za kitoto.
Anapaswa kufahamu ameingia kwenye corporate world akae kibiashara sio kuleta beef za kitoto. Mo anaweza fitna za kibiashara na ana uzoefu over years huu sio muda kwa wasafi kujiingiza kwenye ugomvi usio na maslahi yoyote ya kibiashara zaidi anapoteza business relationship na possible clients.
Mo Hana media na ana conflict of interest na AZAM sababu wote Wana timu za mpira na wanatengeneza vinywaji baridi na other products zinazofanana kama juice, maji, ice cream nk. Hiyo ni fursa kwa Wasafi lakini akiendekeza ugomvi wa kitoto wa kiswahili atakosea sana.
Mo sio akina Petitman au Harmonize yule ni business mogul angetumia nafasi hiyo kujifunza kwake pia.
It's just a fair comment from my side.
Huu ni upumbavu wa magabacholiHuko twiter mambo yameanza mabosi wa Simba waanza kum unfollow Diamond [emoji184] PlatinumzView attachment 1881539
Well said...!Huwa naona kumu_unfollow mtu baada ya viugomvi vidogo ni kukosa maturity..
Pambaneni on the ground hivi vitu vya mtandaoni ni kutaka attention na drama tu
SanaaHilo muhimu mkuu
mambo ya kuanza kuleta drama mtandaoni ni dalili za udhaifu tu