Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,711
- 220
Juzi juzi mbunge kijana Mohammed Dewji alikuja hapa na article yake juu ya mambo ya umeme. article hiyo inamuonyesha yeye kama amefanya uchunguzi yakinifu kuhusu hili swala la umeme. article hiyo aliitoa kwenye NY times la july 29, 2007 na kui taifsiri kwa kiswahili bila kumnukuu mtengenezaji wa makala hiyo.
Kwakuwa Mo ni kiongozi nimeona ni wajibu kuyaweka haya bayana.
yafuatayo ni artcile ya mohammed dewji kwa kiswahili, article ya michael wines wa NY times kwa kiingereza na link ya hiyo article. unaweza ukaoanisha hizo article mbili kati ya Mo na Michael Wines.
plagiarism is a piece of writing that has been copied from someone else and is presented as being your own work (wordnetweb.princeton.edu)
Kwakuwa Mo ni kiongozi nimeona ni wajibu kuyaweka haya bayana.
yafuatayo ni artcile ya mohammed dewji kwa kiswahili, article ya michael wines wa NY times kwa kiingereza na link ya hiyo article. unaweza ukaoanisha hizo article mbili kati ya Mo na Michael Wines.
Mambo mengi yamesemwa kuhusu tatizo la umeme nchini Tanzania, mimi nitaanza kwa kugusia mambo machache yanayoonyesha matatizo ya umeme yalivyokuwa makubwa ndani ya bara letu la Afrika:
Ukienda kuangalia hapo juu ni mifano michache ya matatizo ya umeme barani Afrika, lakini ninachoweza kusema tatizo kubwa linatokana na ukosefu wa mipango. Nishati ya umeme inapatikana kwa njianyingi, kuna umeme wa nguvu za maji, nguvu za jua, kwa njia ya nguvu za upepo, umeme wa majenereta, na njia nyingine nyingi ambazo wataalamu wanaweza wakatuambia zinatufaa.
- Hatujawekeza ipasavyo kwa miaka 15 hadi 20 katika kitengo cha uzalishaji na usambazaji wa umeme, hayo maneno yalitamkwa na Lawrence Musaba, Meneja wa Southern African Power pool, muungano na mtandao wa nchi kumi na mbili kusini mwa Sahara.
- Kuanzia Nigeria, Ghana mpaka Luanda hela nyingi inatumika kuzalisha umeme kwa majenereta hali inayofanya uchumi wa nchi nyingi za Afrika kupungua ukuaji kwa asilimia mbili – ripoti ya Benki ya dunia.
- Ukiitoa nchi ya Afrika Kusini kwenye mambo hayo, nchi zote zilizobaki za kusini mwa jangwa la Sahara lenye watu milioni 700, linapata umeme sawa na wananchi wa Poland ambao ni milioni 38 tu.
- Eskom, kampuni ya umeme ya Afrika Kusini mwaka 1998 iliambiwa mwaka 2007 itaanza kupata tatizo la mgao wa umeme nchini iwapo isipopanga jinsi ya kuongeza uzalishaji wa nishati, lakini kutokana na matatizo ya fedha na mipango kampuni haikufanyia kazi yale mapendekezo ya wataalamu kwenye ripoti ya mwaka 1998, na kuanzia mwaka 2006 Afrika Kusini imeanza kupata misuko suko ya mgao wa umeme pia.
- Nigeria, nchi yenye watu wengi kuliko wote Afrika na yenye utajiri wa mafuta ina vituo 79 vya kuzalisha umeme lakini ni vituo 19 vinavyofanya kazi na hivyo kusababisha hasara ya dola za kimarekani bilioni moja kwa mwaka kiuchumi.
Ninakaribisha comments wadau na mnakaribishwa kwenye blog yangu
http://www.mohammeddewji.com/blog
MO
hii article inapatikana hapa http://www.nytimes.com/2007/07/29/world/africa/29power.html?pagewanted=1&_r=1"We've had no significant capital injection into generation and transmission, from either the private or public sectors, for 15, maybe 20 years," said Lawrence Musaba, the manager of the Southern African Power Pool, a 12-nation consortium of electricity utilities at the continent's tip.
The implications go beyond candlelight suppers and extra blankets on beds. The lack of reliable power has already begun to hamper the region's development, clipping more than 2 percent off the annual growth rates of the worst-hit African economies, according to the World Bank. Some nations, like Ghana, have tried to deal with their power crises by leasing huge teams of gas generators, producing emergency power at exorbitant rates until power plants can be built.
In Nigeria, Angola and some other nations, virtually all businesses and many residents run private generators to supplement faltering public service, saddling economies with added costs and worsening pollution.
Excluding South Africa, whose economy and power consumption dwarf other nations', the region's remaining 700 million citizens have access to roughly as much electricity as do the 38 million citizens of Poland.
The government monopoly Eskom, the world's fourth-largest power utility, was advised in a 1998 report that it would run short of power in 2007, but planning and financing problems - not all within the utility's control - stalled upgrades. The forecast was actually optimistic: Eskom began running short in 2006.
Yet South Africa's woes pale beside those of Nigeria, Africa's most populous nation. Only 19 of 79 power plants work, the government said in April. Daily electricity output has plunged 60 percent from its peak, and blackouts cost the economy $1 billion a year, the Council for Renewable Energy in Nigeria says.
http://www.nytimes.com/2007/07/29/world/africa/29power.html?pagewanted=1&_r=1
plagiarism is a piece of writing that has been copied from someone else and is presented as being your own work (wordnetweb.princeton.edu)