Mo Dewji ni tapeli na bora imeonekana mapema

Mo Dewji ni tapeli na bora imeonekana mapema

We mat*ko hao vijana wa Senegal na Ghana utawalipa nini? hivi kati ya Mo na Simba nani anamtapeli mwenzake unawaza kweli wewe?
wanachokitaka vijana ni kutoka kwenye mpira. Mshahara mmoja wa Ajibu ambae hana kazi zaidi ya benchi unaweza kulipa hadi vijana wanne wa kuanzia miaka 18 - 20. Usajili umekua mbovu hapo Simba, tunafanya mambo kwa sifa nasasa sifa zinatutokea puani. Vijana wa Mtibwa wanaojitoa kwasababu ya kutaka kufanikiwa kimpira wanatushikisha adabu.
 
wanachokitaka vijana ni kutoka kwenye mpira. Mshahara mmoja wa Ajibu ambae hana kazi zaidi ya benchi unaweza kulipa hadi vijana wanne wa kuanzia miaka 18 - 20. Usajili umekua mbovu hapo Simba, tunafanya mambo kwa sifa nasasa sifa zinatutokea puani. Vijana wa Mtibwa wanaojitoa kwasababu ya kutaka kufanikiwa kimpira wanatushikisha adabu.
hayo mambo ya kufanya usajili kwa sifa ni kosa la nani? na je anayetoa pesa kuwalipa hao wachezaji wasio na faida ni nani? Mo ana haki ya kuumizwa na matokeo ya simba kwa sababu anagharamia kila kitu
 
Japo siyo shabiki wa Simba ila MO kawadharau sana ndugu zangu,huyu Muhindi amekazia maneno ya Rage......Binafsi sijapenda hilo jambo na hawa jamaa wanapenda kupigiwa magoti sana.

Japo kwenye social media wengi mashabiki wamechukizwa sana na huu Ulipumba wa MO namwisho hauko mbali
IMG-20200114-WA0009.jpg
 
hayo mambo ya kufanya usajili kwa sifa ni kosa la nani? na je anayetoa pesa kuwalipa hao wachezaji wasio na faida ni nani? Mo ana haki ya kuumizwa na matokeo ya simba kwa sababu anagharamia kila kitu
yeye ndo mwenyekiti wa bodi, unafikiri ni kosa la nani?
 
Pumba hizi !
Tokea mwanzo mimi nilisema ' kina Kilomoni hawako sahihi kubania nyaraka za mali za Simba lakini potelea mbali, if I had to choose I'd choose the lesser evil of not letting Dewji anywhere near those documents".

Dewji ametulaghai na mbwembwe nyingi na kina Hans Pope za usajili wa makelele mengi wakati hauna matunda.

Simba ni timu ya watanzania, hapa ndipo wachezaji wazuri wote wa Tanzania walitakiwa wazaliwe na wachezee. Sasa Simba imekuwa sehemu ya kwenda kula hela. Wachezaji wangapi pale wanajitoa kwasababu ya jasho la wanasimba? Hakuna.

Na laana iwafikie wote wanaosema tunajenga Simba kwa matokeo ya baadae, mpira haupo hivo. Timu za mpira wa miguu zinajengwa na wachezaji wenye umri mdogo ili waje kutawala baadae. Usajili wetu wa kutulaghai kuona hatukamatiki umejaza wachezaji wenye miaka 25 na zaidi. Angalieni timu kama Madrid, Mazembe, Barcelona na timu nyingine zote kubwa. Mafanikio ya timu hizi yametokana na usajili wa vijana wadogo. Huwezi kufanya usajili wa wachezaji kutoka India utegemee utasaidia timu kukua.

Tena bora Serikali imegundua na kusema kama ni mgeni aje akiwa ana nafasi timu yake ya taifa au anacheza ligi ya juu nchini kwao.

Ulaghai wa usajili wa fujo ili tumuonee huruma awe na masifa huko FORBES kwamba anamiliki timu yameanza kuthibitika, Mo Dewji ni tapeli na hajui anafanya nini na simba. Wazee walimpa nafasi aweke US 1 million kama alivoahidi wampe nyaraka akagoma kwasababu hana nia ya dhati ya kuipaisha Simba zaidi ya kutaka sifa tu.

Ubunge wa Singida ulimshinda kwasababu ya misifa, alijidai ataibadilisha Singida lakini wapii, Singida ina hali mbaya vile vile tangu na tangu.
Jamaa anapenda sifa tu, hawezi kufanya la maana lolote.

Mimi Simba siwezi kuacha kushabikia, ila mzuka wa kwenda uwanjani kuiangalia umepungua kwa kiasi kikubwa. Sasa hivi nahisi kama Simba sio sehemu yangu tena, imekua kama ni mali ya mtu hivi.

Simba haijawahi kuwa mali ya mtu, ni timu ya wanaSimba.

NAPENDEKEZA TUWE NA MFUMO WA RAISI WA SIMBA NA SIO MMILIKI, KAMA AMBAVYO MADRID IPO.

Unasajili wachezaji kutoka India ambako hakuna mpira kabisa ili kutupumbaza watu ionekane umesajili vitu vya maana. Bahati nzuri njia ya muongo fupi, anataka sifa za kua anamiliki timu wakati sisi washabiki tunateseka. Mali za Simba hazitakiwi kuguswa na mikono ya nuksi ya Dewji.
Mlaghai mkubwa wewe.
 
Hivi Simba watakuja kupata akili lini eti mtu mmoja ameenda kumpigia magoti mhindi! Naye kwa dharau kasema ngoja nirudi siku nyingine nitafanya hivi ili watu wazima na akili zai wanipigie magoti SHAME
 
Ugomvi wa Dewji na Kigwangala, simkubali Kigwanomics kwakua hajui kujenga hoja lakini hapa nachagua lesser evil, Hamisi umeongea ukweli na imeonekana wazi kuwa Dewji sio mtu.
 
Tokea mwanzo mimi nilisema ' kina Kilomoni hawako sahihi kubania nyaraka za mali za Simba lakini potelea mbali, if I had to choose I'd choose the lesser evil of not letting Dewji anywhere near those documents".

Dewji ametulaghai na mbwembwe nyingi na kina Hans Pope za usajili wa makelele mengi wakati hauna matunda.

Simba ni timu ya watanzania, hapa ndipo wachezaji wazuri wote wa Tanzania walitakiwa wazaliwe na wachezee. Sasa Simba imekuwa sehemu ya kwenda kula hela. Wachezaji wangapi pale wanajitoa kwasababu ya jasho la wanasimba? Hakuna.

Na laana iwafikie wote wanaosema tunajenga Simba kwa matokeo ya baadae, mpira haupo hivo. Timu za mpira wa miguu zinajengwa na wachezaji wenye umri mdogo ili waje kutawala baadae. Usajili wetu wa kutulaghai kuona hatukamatiki umejaza wachezaji wenye miaka 25 na zaidi. Angalieni timu kama Madrid, Mazembe, Barcelona na timu nyingine zote kubwa. Mafanikio ya timu hizi yametokana na usajili wa vijana wadogo. Huwezi kufanya usajili wa wachezaji kutoka India utegemee utasaidia timu kukua.

Tena bora Serikali imegundua na kusema kama ni mgeni aje akiwa ana nafasi timu yake ya taifa au anacheza ligi ya juu nchini kwao.

Ulaghai wa usajili wa fujo ili tumuonee huruma awe na masifa huko FORBES kwamba anamiliki timu yameanza kuthibitika, Mo Dewji ni tapeli na hajui anafanya nini na simba. Wazee walimpa nafasi aweke US 1 million kama alivoahidi wampe nyaraka akagoma kwasababu hana nia ya dhati ya kuipaisha Simba zaidi ya kutaka sifa tu.

Ubunge wa Singida ulimshinda kwasababu ya misifa, alijidai ataibadilisha Singida lakini wapii, Singida ina hali mbaya vile vile tangu na tangu.
Jamaa anapenda sifa tu, hawezi kufanya la maana lolote.

Mimi Simba siwezi kuacha kushabikia, ila mzuka wa kwenda uwanjani kuiangalia umepungua kwa kiasi kikubwa. Sasa hivi nahisi kama Simba sio sehemu yangu tena, imekua kama ni mali ya mtu hivi.

Simba haijawahi kuwa mali ya mtu, ni timu ya wanaSimba.

NAPENDEKEZA TUWE NA MFUMO WA RAISI WA SIMBA NA SIO MMILIKI, KAMA AMBAVYO MADRID IPO.

Unasajili wachezaji kutoka India ambako hakuna mpira kabisa ili kutupumbaza watu ionekane umesajili vitu vya maana. Bahati nzuri njia ya muongo fupi, anataka sifa za kua anamiliki timu wakati sisi washabiki tunateseka. Mali za Simba hazitakiwi kuguswa na mikono ya nuksi ya Dewji.
Mlaghai mkubwa wewe.
Niko pembeni nikichungulia mtifuano huu..
 
mafanikio hayanunuliwi, mafanikio yana msingi, mwekezaji akiwa na nguvu kuliko bodi ya timu, timu inakosa msingi imara. Has muwekezaji mwenyewe akiwa yupo kwa ajili ya sifa binafsi na hajali msingi wa timu. Wote tunajua kwamba msimu huu tulitaka kununua mafanikio ligi ya mabingwa na historia ikatusulubu. Unapojenga timu ili ije ifanikiwe haununui wachezaji wakubwa kutoka India, Mazembe walimchukua Mbwana wakati bado mdogo na ile ndomaana ya kujenga timu.
Ila kikubwa zaidi ni kwamba Mo Dewji haipendi Simba kama ambavyo mimi nawewe tunaipenda, Wewe ungekua na $mil 10 tukakwambia wekeza $mil 2 simba wala usingefikiria mara kumi kumi, lakini yeye aliambiwa awekeze $mil 1 tu mpaka leo anataka wazee wale wamlambe matako.
mzee mafanikio ya mpira ni pesa wewe usifikili watu wananunua wachezaji kwa ghalama kubwa ili iwe sifa mishahara mikubwa ile kazi no one sweat for honour mzee
 
Back
Top Bottom