GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE naujua Mpira, Nimecheza Mpira, Nauchambua Mpira na Jicho Kali na Tukuka la Kumjua Mchezaji na nikipointi huwa sibahatishi ila Tajiri Wewe umeshindwa kunifuata PM hapa ili tuwasiliane ili nikusaidie Usipigwe Hela na Wajanja na Matapeli waliokuzunguka na niisaidie Simba SC yangu hujafanya hivyo.
Sasa nakuambia Tajiri Wewe Mo Dewji tegemea Kusajiliwa Michezaji Migalasa tupu na utakuja Kunikumbuka na kujuta kwanini hukunitafuta hapa JamiiForums.
Mimi ungenipa tu hata Bilioni 1 na Nusu au Bilioni 2 kabisa ningeomba unipe Wiki zangu Tatu ( 3 ) tu ningekuletea si Wachezaji bali Wachezaji wa Vikombe na Simba SC yetu ingesomba Vikombe vyote kwakuwa nawajua Mafundi wako wapi
Mo Dewji hushauriki na unawaamini mno Maadui Wakuu wa Simba SC hasa Mkurugenzi wa Bodi Salim Abdallah Try Again, Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu na Mjumbe Mulamu Ng'ambi hivyo tegemea tena Maumivu kupitia hawa Watajwa Watatu.
Nitachagua tu kukaa mbali na SSC.
Pia soma: Mo Dewji Nitengee Tsh Bilioni 4 tu nizunguke duniani nikuletee Majembe ya Simba SC Kuzoa Vikombe vyote Africa
Sasa nakuambia Tajiri Wewe Mo Dewji tegemea Kusajiliwa Michezaji Migalasa tupu na utakuja Kunikumbuka na kujuta kwanini hukunitafuta hapa JamiiForums.
Mimi ungenipa tu hata Bilioni 1 na Nusu au Bilioni 2 kabisa ningeomba unipe Wiki zangu Tatu ( 3 ) tu ningekuletea si Wachezaji bali Wachezaji wa Vikombe na Simba SC yetu ingesomba Vikombe vyote kwakuwa nawajua Mafundi wako wapi
Mo Dewji hushauriki na unawaamini mno Maadui Wakuu wa Simba SC hasa Mkurugenzi wa Bodi Salim Abdallah Try Again, Mwenyekiti wa Wanachama Murtaza Mangungu na Mjumbe Mulamu Ng'ambi hivyo tegemea tena Maumivu kupitia hawa Watajwa Watatu.
Nitachagua tu kukaa mbali na SSC.
Pia soma: Mo Dewji Nitengee Tsh Bilioni 4 tu nizunguke duniani nikuletee Majembe ya Simba SC Kuzoa Vikombe vyote Africa