Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
""Inachanganya hii, kitu ukishakinunua si ni chako, sasa utakiachiaje bure bure, aidha aseme amemuuzia nani sasa maana ni mali yake hii simba ""BILIONEA Mohamed Dewji Mo amethibitisha rasmi kuwa Klabu ya Simba aliinunua miaka 5 iliyopita na ndio kitu cha gharama kwake kukinunua[emoji3578]
#KitengeSports
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hiyo ni ngumu [emoji23]Aseme pia ameingiza kiasi gani kupitia matangazo yote kuanzia kwenye jezi na platiform zote za simba kwa hiyo miaka mitano
Labda haujaelewa maana yangu. Kwani wewe umeelewaje?Sikutegemea kama ungejibu hivyo
[emoji23][emoji23]""Inachanganya hii, kitu ukishakinunua si ni chako, sasa utakiachiaje bure bure, aidha aseme amemuuzia nani sasa maana ni mali yake hii simba ""
We unafikiri anatumia sh ngapi kwa mwaka?Bili 10 kila mwaka kwa matumizi gan? Au ndio propaganda kama kawaida.
Huyu ni takataka sana ..gsm anaweza hata asile wiki nzima ili yanga ile ,,Akiona makolo wanataka kuvuka hatua ya robo tu anajitokeza kuongelea pesa alizowekeza ukoloni.
Kumbuka mo ndiye father of modern simbaHuyu ni takataka sana ..gsm anaweza hata asile wiki nzima ili yanga ile ,,
[emoji23][emoji23]Simba ndiyo kitu pekee cha gharama alichowahi kukinunua tajiri Mohammed Dewji.. Najivunia kuwa mshabiki wa Yanga isiyonunuliwa. Pole nyingi ziwaendee wanaume wanaonunuliwa kirahisi rahisi na mwanaume.
Basi nitakua sijaelewa..nilikua nimeelewa kuwa wewe haupo ktk group la kupigania ile 51% uko ktk wale wa simba inashinda mie poa tuLabda haujaelewa maana yangu. Kwani wewe umeelewaje?
Bila yeye msingefika hapaMo anazingua na ni mmoja wa watu wanaofanya wanasimba kuishi kinyonge pamoja na mafanikio ya timu inayoyapata.
Klabu imepoteza mwelekeo wa kiutawala na kiuongozi na ndiyo msingi wa matatizo mengi ya timu.
wamezoea kununuliwa kirahisi rahisi, mwisho wataishia kuliwa kituri kimasihara. 😀
Sema wahindi hawana mambo hayowamezoea kununuliwa kirahisi rahisi, mwisho wataishia kuliwa kituri kimasihara. 😀
Hapana. Mgawanyo wa umiliki wa timu ni suala nyeti sana, siwezi kuwa wale wa "timu inashinda poa tu" kama vibaraka wa GSM.Basi nitakua sijaelewa..nilikua nimeelewa kuwa wewe haupo ktk group la kupigania ile 51% uko ktk wale wa simba inashinda mie poa tu
Anaipenda timu mkuuHakuna mfanyabiashara/mwekezaji mpumbavu kiasi cha kuwa anapata hasara za billions halafu aendelee kuing'ang'ania project. Huyo atakuwa mwehu.
Hizi ni propaganda tu.
Nilikuwa sijuiKumbe simba ina mwenyewe.