Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Mmempotezea pesa zakeHuyu mhindi anatuchukuliaje?
Kwamba na ubilionea ule ....bado anahitaji kapesa hako kadg[emoji23]Hapo kashaona wakiingia robo kuna kitita basi anaanza mambo yake.
Mjanja sana huyo Kanjibai.
Tena vinayokea Kwa muda fulanMsimbazi Kila Siku Wana Vichekesho Vipya
Mhindi apoteze fedha nyingi hivyo na bado arudi? Hii ni watu wajinga kabisa ndiyo watakubali....Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!
Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Tena vinayokea Kwa muda fulanMsimbazi Kila Siku Wana Vichekesho Vipya
Jumamosi Tutaona Vingine
GSM, huyu wote ni wale wale. Ni mafala tu ndiyo watakadhani GSM na Mo wana mapenzi na hizo timu au mpira. Wako huko kwa ajili ya maslahi yao.Mim ni simba ,,ila ndio umfananishe gsm na hii takataka? Lugha ya kusema nimeppoteza mana yake ni wewe ni kama unalazimishwa kua simba na zaidi haujatoa fedha kwa mapenz yako, umetoa ukiwa na kinyongo, au kama sabab sio hii bas ni njia ya danganya toto kwa wanasimba na viongozi ili waone umetumia hela nyingi ili uendelee kuwa simba na kujinufaisha bila kua na mapenz yoyote na klabu kuiona inakua klab bora afrika..
Hajasema mkuu [emoji23]Katika hayo mahojiano alisema matangazo anayoweka Simba yamempa faida au hasara.
Huu ujinga ndio Kilomoni aliukataa
Aende wapi wakati ni mali yake, au unamaanisha kama anapata hasara aiuze?...Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!
Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Kuendesha timu ni gharama sanaQuality players, technical bench na safari za team
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Itakuwa ni hasara mpya hiiKwa hiyo ndiyo kusema zile bilioni 20 ni sehemu ya hizo bilioni 40 alizopata hasara, au!!!
[emoji23][emoji23] anawaandaa kisaikolojiaMudi anawatesa sana MAKOLO!kila wakikaribia kuingia nusu final anakuja na misemo ya kuwavuruga!!
[emoji23][emoji23]Mkuu wabuluze tu hao mbumbumbu
Kwani wewe ukiwa na mali inayokupa hasara utakosa cha kufanya kisa ni mali yako? Kabisa utakosa namna ya kuepuka hasara kubwa namna hiyo kwa miaka 5 just because ni mali yako, kweli?Aende wapi wakati ni mali yake, au unamaanisha kama anapata hasara aiuze?
Hela haitoshagi ndugu yangu.Kwamba na ubilionea ule ....bado anahitaji kapesa hako kadg[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huwezi kuwa umekaa na grader la marehemu baba yangu .afu unajisifia kunisomesha bila kutaka tupige hesabu ya mapato ya urithi wangu grader