Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

...Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!

Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Mhindi apoteze fedha nyingi hivyo na bado arudi? Hii ni watu wajinga kabisa ndiyo watakubali.
 
Mim ni simba ,,ila ndio umfananishe gsm na hii takataka? Lugha ya kusema nimeppoteza mana yake ni wewe ni kama unalazimishwa kua simba na zaidi haujatoa fedha kwa mapenz yako, umetoa ukiwa na kinyongo, au kama sabab sio hii bas ni njia ya danganya toto kwa wanasimba na viongozi ili waone umetumia hela nyingi ili uendelee kuwa simba na kujinufaisha bila kua na mapenz yoyote na klabu kuiona inakua klab bora afrika..
GSM, huyu wote ni wale wale. Ni mafala tu ndiyo watakadhani GSM na Mo wana mapenzi na hizo timu au mpira. Wako huko kwa ajili ya maslahi yao.
 
...Amepoteza B 51 kwa miaka 5. Amepoteza, kwa maana ni hasara. Na bado tu yupo. Mwaka wa kwanza amepoteza B 10.2, wa pili B 10.2, wa tatu halikadhalika, na mwaka wa nne, na watano na bado yupo ina maana yupo tayari kupoteza tena mwaka wa sita!!!

Hii ni janja janja, kweli wajinga ndio waliwao!!!
Aende wapi wakati ni mali yake, au unamaanisha kama anapata hasara aiuze?
 
Aende wapi wakati ni mali yake, au unamaanisha kama anapata hasara aiuze?
Kwani wewe ukiwa na mali inayokupa hasara utakosa cha kufanya kisa ni mali yako? Kabisa utakosa namna ya kuepuka hasara kubwa namna hiyo kwa miaka 5 just because ni mali yako, kweli?
 
Back
Top Bottom