Mo dewji: Nimepoteza billion 41 ndani ya Simba

Kugharamia Timu sio hela ndogo na ukichanganya na wapigaji wanaoongeza sifuri kwa bei za Wachezaji ndio kabisaa itafika 100 B katibuni tu..
 
Ni kweli alilazimishwa na Makonda kipindi kile Simba imepoteza kwenye FAINALI ya Mapinduzi.
Aliambiwa mara ile tumekuvalisha kanga safari hii tunakuvisha bikini na picha juu.

Kama ingekuwa ni wewe si ingekubidi uwe mpole tu?
 
Ni kweli alilazimishwa na Makonda kipindi kile Simba imepoteza kwenye FAINALI ya Mapinduzi.
Aliambiwa mara ile tumekuvalisha kanga safari hii tunakuvisha bikini na picha juu.

Kama ingekuwa ni wewe si ingekubidi uwe mpole tu?
Makonda ana dhambi nyingi sana
 
Ufala mkubwa, hawa umbwa wana washabiki 35m yaani zaidi ya asilimia 60 ya watz ni ujinga mkubwa.
 

Na la 3. Ili aendelee kutangaza biashara zake zinazompa faida kupitia platform za Simba. Kumbuka alishasema biashara inayompa faida sana kwa sasa ni mo energy. Sasa bila ya kina boko kubeba chupa na kuzitangaza atamuuzia nani? Maana anajua fika kwamba Azam amewekeza sana kwenye biashara ya TV. Ukienda kenya karibia yote, Uganda, Msumbuji Rwanda etc Azam TV yupo huko na vinjwaji hvyo vinauzika sana. Sasa anajificha kwenye kichaka cha hasara ili asipate kubughidhiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…