Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tajiri anayeongoza timu yake pasipo kupiga ni mmoja tu hapa TZ naye ni Bhakresa.Huyu ni takataka sana ..gsm anaweza hata asile wiki nzima ili yanga ile ,,
Kwa hiyo ndiyo kusema zile bilioni 20 ni sehemu ya hizo bilioni 40 alizopata hasara, au!!!“Nadhani kitu ghali zaidi nilichowahi kununua ni klabu ya mpira inaitwa Simba ina mashabiki milioni 35, niliinunua hii klabu miaka mitano iliyopita, nimepoteza takribani Dola za marekani milioni 4 (Tsh bilioni 10.2) kwa mwaka mmoja na kwa miaka yote mitano nimepoteza Dola za Marekani milioni 20 (Tsh bilioni 51)"
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akizungumza kwenye Podcast ya Ahmed Mahmood.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huyu mhindi anatuchukuliaje?
Mudi anawatesa sana MAKOLO!kila wakikaribia kuingia nusu final anakuja na misemo ya kuwavuruga!!“Nadhani kitu ghali zaidi nilichowahi kununua ni klabu ya mpira inaitwa Simba ina mashabiki milioni 35, niliinunua hii klabu miaka mitano iliyopita, nimepoteza takribani Dola za marekani milioni 4 (Tsh bilioni 10.2) kwa mwaka mmoja na kwa miaka yote mitano nimepoteza Dola za Marekani milioni 20 (Tsh bilioni 51)"
Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akizungumza kwenye Podcast ya Ahmed Mahmood.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni bora gsm kuliko dewji huwezi kubali ila mda utaongeaHapana. Mgawanyo wa umiliki wa timu ni suala nyeti sana, siwezi kuwa wale wa "timu inashinda poa tu" kama vibaraka wa GSM.
Nilichotaka kusema ni kama nilivyoandika, kuwa ana mchango fulani katika kuleta mafanikio ambayo Simba imeyapata kwa kipindi hivi kifupi kwa hiyo siyo mtu wa kumbeza.
Kuhusu ishu ya umiliki hadi matangazo yake hayo ni mambo mengine. Nina mengi ya kusema kuhusu hayo ila sidhani kama muda ni muafaka kuyasema ila yeye kila wakati Simba ikiwa inakaribia hatua fulani kuja na hivi viinterview vyake vya "kupoteza pesa" inaleta picha mbaya.
Yanga haiendeshwi kwa hisa kama simbaSawa sawa sasa mie pia sitaki kuingia deep maana niliwahi kuwa karibu sana na FoS na hasa uongozi uliopita...
Unadhani kwann kila ikifika hatua hii tajiri anakuja na story hizi ? Je anaamini maneno ya Rage ? So anafanya kusudi sababu kashika mpini ?
Kule mtaa wa pili walichofanya ni kupeleka mtu akawe Rais/Chairman azidhibiti nguvu ya 51 % na wao naona wanajua kula na vipofu
Hamnaga ujinga kama huo wewe.
Singida kuna wahindi?Kumbe India nako kuna Singida ??
Si ndo hapo??Kwamba yupo tayari kufilisika kisa Simba
[emoji23][emoji23]Moamedi Deuji muongo. Tz Kuna watu milioni sitini.
Hapo Kuna watoto chini ya umri wa miaka kumi ambao hawana upenzi wa mpira, Hawa wapenzi milioni 35 anawapata wapi? Shithole.
Kibunda mnacho Cha kuendesha teamHUYO PONJOLO TUTAINGIA MTAANI KUANDAMANA MPAKA AKIMBIE SIMBA.
Mtaanza kutembeza bakuliAsepe zake aiache timu kwa watu wengine
Mjue tu hakuna faidaMbona hakubali wakaguzi wa hesabu wakague timu watujie na ukweli wa faida asiyotaja ya matangazo dhidi ya hela aliyoweka .