Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #141
Ndo hivyo ....kashanunua timuYUPO MCHINA AMEFIKA DAU SIMBA HUYU KANJIBAI ASITUCHANGANYE
Hawezi ng'oka pale ukoloni
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyo ....kashanunua timuYUPO MCHINA AMEFIKA DAU SIMBA HUYU KANJIBAI ASITUCHANGANYE
Kwa hiyo unamuibia mtu simu ili kumuepusha kuangalia ngono ukidai unamsaidia aende mbinguni .polisi walilushika ni jelaUnaweza Kuta kama ningekuachia Hilo trekta ...lingekuwa tayari limekufa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Jamaa alichelewa kujuwa kua mashabiki wa Simba ni mbumbumbu, ila kutokana na coment yako hapo juu, ndio imemuaminisha kua mashabiki wa Simba ni mbumbumbu.Yapi hayo?
Diaspora wako hata 1m, realistically could be in region of 10+.Tumia akili mashabiki wa simba wengine wako diaspora .wengine sio watanzaniaView attachment 2920527
Wako kenya tu wanajaza ndegeDiaspora wako hata 1m, realistically could be in region of 10+.
Mwache rafiki yangu Kalpana siyo mfia timu 🏃Nadhani Sasa wataacha
Kalpana .....acha kuuumia kwa timu ya mudi[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sheria zinasemaje kwani?.Nadhani Sasa wataacha
Kalpana .....acha kuuumia kwa timu ya mudi[emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hii Kesi ni nzito[emoji23][emoji23]Kwa hiyo unamuibia mtu simu ili kumuepusha kuangalia ngono ukidai unamsaidia aende mbinguni .polisi walilushika ni jela
Lakini naskia ndio kawaida ya wahindi....Muogope tajiri anayezungumzia hasara tu.na bado anaendelea na hyo biashara
Simba imesharudi kwao. Ilianzishwa na Wahindi, imerudi kwa Mhindi. Wanachama na mashabiki kwa kuwa hamna pa kwenda imebidi muwekewe Mwenyekiti wenu, halafu kuna Mwenyekiti wa Simba.Huyu mhindi anatuchukuliaje?
Mkuu Kalpana ni kolo kindaki ndakiMwache rafiki yangu Kalpana siyo mfia timu [emoji125]
Ndo hivyo mkuu ..kashauziwa mazimaSheria zinasemaje kwani?.
Ana asilimia ngapi SSC
Anazo 100 zote au?
Hii timu aliikuta na akawekeza asilimia zake na akaona inampa faida kwahyo tutaenda nae sambamba kama haimpi faida mbona haiachi?.
Sikiliza vizuri mkuuWewe Labani og hyo video iko.wapi aliposema amepoteza?. Video umesikiliza mwenyewe umekuja na tafsiri zako..kweli hamna akili nyie..
Wee mi nilikua ndani kwangu bana..sema hatukula usiku siku hyo..walikula wtt tuu...Mkuu Kalpana ni kolo kindaki ndaki
Kwani hukusikia kuwa kile kichapo Cha 5...... kalpana alikuwa kibanda umiza .....Kwa hasira [emoji3063][emoji3063] akang'oa na tv ya watu[emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mbona haifunguki? Au ni voice note...